Queen Rover
Member
- Apr 29, 2015
- 88
- 79
- Thread starter
- #61
Maisha Ni kuchagua Kaka yangu. Siku njemambona huna spirit ya uvumilivu?
Kwa nini hujiamini?!.
Nlishawahi kuona post kama hii ulitaka mtu mwenye umri wa z aidi ya miaka 40 (nadhani ulikuwa unatafuta sugerdaddy).
Umri wako miaka 22, na unajipambanua kuwa ni determinant woman.
Unahofia nini wakati unajishughulisha?, kila jambo lina wakati sahihi. Bado upo na muda wa kusubiri huku unaiandaa future yako.
Ndoa sio mahusiano rahisi, sio biashara, sio ubaguzi kama uliouweka hapo ktk post yako. Ndoa ni zaidi ya unavyodhani, ndoa ni mkataba wa upendo.
KUWA NA SUBIRA.