mdogo wangu sikiliza wosia, maisha ni jinsi unavyoishi, kulikuwa na binti wawili wenye kile kinachofanana kiasi na unachofanya ktk wakati tofauti, nilikuwa na malengo nao ktk wakati tofauti lkn walinikwamisha. siku kadhaa kabla ya harusi nilipokea msg kutoka kwao zikifanana, zikisema, "kwa nn unaoa mapema, ulishindwa nn kuvumilia, huyo ana nn zaidi yangu?" nilimuonesha mke wangu na kumwambia hyo ni moja ya tofauti uliyonayo na wengine. Ni vizuri tukijifunza namna ya kuishi na wengne, hii si kwako tu, ila kwa wengine pia hasa wenye uhitaji wa ushauri na kujifunza.