tafakari kali
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 211
- 39
Habari,
Mimi ni kijana Mtanzania,mbena wa Iringa. Natafuta mwanamke asiyezidi umri wa miaka 31 lakini ambaye hana uwezo wa kuzaa(tasa) mimi tayari nina watoto wawili na kwa bahati mbaya siishi na mzazi mwenzangu kutokana na sababu ambazo siwezi kuzielezea hapa.
Awe ama ni mfanyakazi au mwenye uwezo wa kujishughulisha hata kama hana mtaji ili hasiwe mama wa nyumbani tu.
Mimi ni mfanyakazi mwajiliwa serikalini.
Tafadhari kwa ambaye atasikia tangazo ili na kuhitaji kuwasiliana basi ani PM na kunitumia na picha yake.
Mimi ni kijana Mtanzania,mbena wa Iringa. Natafuta mwanamke asiyezidi umri wa miaka 31 lakini ambaye hana uwezo wa kuzaa(tasa) mimi tayari nina watoto wawili na kwa bahati mbaya siishi na mzazi mwenzangu kutokana na sababu ambazo siwezi kuzielezea hapa.
Awe ama ni mfanyakazi au mwenye uwezo wa kujishughulisha hata kama hana mtaji ili hasiwe mama wa nyumbani tu.
Mimi ni mfanyakazi mwajiliwa serikalini.
Tafadhari kwa ambaye atasikia tangazo ili na kuhitaji kuwasiliana basi ani PM na kunitumia na picha yake.