Upo eneo gani? Ratiba yako ya kuhudhuria ipoje? Kama upo Arusha au Moshi just PM meHabari za mchana na poleni na majukumu.
Jamani humu ndani kama kuna mtu anafahamu mwalimu wa gymnasium au mahali nawezapata info zitakozoniwezesha kupata uyo mwalimu naomba nisadie, pia unawezanitumia kama ni number ya sim kwa PM.
Asanteni sana
Unataka kujaza nn? . Kama kupungua nitafute.. au kujaza kalio au bega.Habari za mchana na poleni na majukumu.
Jamani humu ndani kama kuna mtu anafahamu mwalimu wa gymnasium au mahali nawezapata info zitakozoniwezesha kupata uyo mwalimu naomba nisadie, pia unawezanitumia kama ni number ya sim kwa PM.
Asanteni sana
Asante, lakini hii sio gym ya kufanya mazoezi. Nazungumzia gymnasium sijui kiswahili chake, ila utakuwa umeona mashindano ya Olympics wanakuwaga na section ya gymnasium, wanaruka kubinuka etc. Nipo DsmUpo eneo gani? Ratiba yako ya kuhudhuria ipoje? Kama upo Arusha au Moshi just PM me
Ungeandika Gym would be easy to grab
Ni Sarakasi kwa kiswahili.Michezo yenyewe inaitwa gymnastic
Malizia hapo, Hamis Ngurumo kutoka MvutiMaster of Calithenics and Gymnastic ..The one n only dronedrake Hamis Ngurumo.