MimiT
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 599
- 388
BASI SAWAAAKinyago cha mpapure mwenzio anataka kuolewa wewe kinyamkera unamshauri utumbo eti akaekae wewe ilisha chezea ujana wako ngoja matako yalie mbata..
BASI SAWAAAKinyago cha mpapure mwenzio anataka kuolewa wewe kinyamkera unamshauri utumbo eti akaekae wewe ilisha chezea ujana wako ngoja matako yalie mbata..
Duh watu mnajua kufukunyua. Kumbe hizi thread za kutafuta wachumba humu zinafanywa na mtu mmoja kwa tarehe na ID tofauti tofauti. Nilitaka ku-pm lakini nimekoma. Kumbe unaweza kuwa una-pm mtu huyo huyo mwaka mzima.Ulianza na huu uzi ukitafta marafiki.
Natafuta Mme Mtu Mzima
Ukaja na huu hapa
Natafuta Marafiki
Mm naomba niwe rafiki yako tu. Km utapenda njoo PM
Duh watu mnajua kufukunyua. Kumbe hizi thread za kutafuta wachumba humu zinafanywa na mtu mmoja kwa tarehe na ID tofauti tofauti. Nilitaka ku-pm lakini nimekoma. Kumbe unaweza kuwa una-pm mtu huyo huyo mwaka mzima.Ulianza na huu uzi ukitafta marafiki.
Natafuta Mme Mtu Mzima
Ukaja na huu hapa
Natafuta Marafiki
Mm naomba niwe rafiki yako tu. Km utapenda njoo PM
Aaah aaah!! Hzo katumia ID moja tu. Xx sjuh km ana ID tofauti na hzo!! Km anazo nyngne hapo ni hatari tupuDuh watu mnajua kufukunyua. Kumbe hizi thread za kutafuta wachumba humu zinafanywa na mtu mmoja kwa tarehe na ID tofauti tofauti. Nilitaka ku-pm lakini nimekoma. Kumbe unaweza kuwa una-pm mtu huyo huyo mwaka mzima.
Naona masharti mengi, kama vp mzae mwenyewe mwenye hizo sifa ili akuowe.Sifa Zangu
Jinsia Yangu KE, Miaka 22, Naishi Dar Es Salaam... Nina umbo la wastani/urefu wa wastani, Rangi ya chocolate, Ni mjasiliamali na pia najiendeleza kielimu, sina mtoto,. Ni Mkwel na Mcha Mungu, Mkristo, Nina Akili Ya Maisha, Ni Muelewa na Nipo makini sana hasa kwenye mambo ya maendeleo, ninajali na nina heshima, nimefunzwa vizur kwetu, mengine tutafahamiana PM
Sifa Za Anaetakiwa
1.Miaka 28 na kuendelea
2.Awe Mkristo
3.Asiwe Mweusi Wala Mfupi
4.Awe na kazi maalumu ya kueleweka inayomuingizia kipato
5.Usiwe Mkurya wala Mjita
6.Usiwe Mme Wa Mtu (I want a free man to build future with)
7.Awe Muelewa, Mpole na anaejielewa anahitaji nini katika maisha.
8.Ukiwa na mtoto sio tatizo
Kama ni kwel upo serious na una hitaji mke ili muyajenge maisha pamoja, na unakidhi sifa hizo hapo juu, ni PM tufahamiane zaidi.... Mbarikiwe.
Jion njema.
Sifa Zangu
Jinsia Yangu KE, Miaka 22, Naishi Dar Es Salaam... Nina umbo la wastani/urefu wa wastani, Rangi ya chocolate, Ni mjasiliamali na pia najiendeleza kielimu, sina mtoto,. Ni Mkwel na Mcha Mungu, Mkristo, Nina Akili Ya Maisha, Ni Muelewa na Nipo makini sana hasa kwenye mambo ya maendeleo, ninajali na nina heshima, nimefunzwa vizur kwetu, mengine tutafahamiana PM
Sifa Za Anaetakiwa
1.Miaka 28 na kuendelea
2.Awe Mkristo
3.Asiwe Mweusi Wala Mfupi
4.Awe na kazi maalumu ya kueleweka inayomuingizia kipato
5.Usiwe Mkurya wala Mjita
6.Usiwe Mme Wa Mtu (I want a free man to build future with)
7.Awe Muelewa, Mpole na anaejielewa anahitaji nini katika maisha.
8.Ukiwa na mtoto sio tatizo
Kama ni kwel upo serious na una hitaji mke ili muyajenge maisha pamoja, na unakidhi sifa hizo hapo juu, ni PM tufahamiane zaidi.... Mbarikiwe.
Jion njema.
Sifa Zangu
Jinsia Yangu KE, Miaka 22, Naishi Dar Es Salaam... Nina umbo la wastani/urefu wa wastani, Rangi ya chocolate, Ni mjasiliamali na pia najiendeleza kielimu, sina mtoto,. Ni Mkwel na Mcha Mungu, Mkristo, Nina Akili Ya Maisha, Ni Muelewa na Nipo makini sana hasa kwenye mambo ya maendeleo, ninajali na nina heshima, nimefunzwa vizur kwetu, mengine tutafahamiana PM
Sifa Za Anaetakiwa
1.Miaka 28 na kuendelea
2.Awe Mkristo
3.Asiwe Mweusi Wala Mfupi
4.Awe na kazi maalumu ya kueleweka inayomuingizia kipato
5.Usiwe Mkurya wala Mjita
6.Usiwe Mme Wa Mtu (I want a free man to build future with)
7.Awe Muelewa, Mpole na anaejielewa anahitaji nini katika maisha.
8.Ukiwa na mtoto sio tatizo
Kama ni kwel upo serious na una hitaji mke ili muyajenge maisha pamoja, na unakidhi sifa hizo hapo juu, ni PM tufahamiane zaidi.... Mbarikiwe.
Jion njema.
Sifa Zangu
Jinsia Yangu KE, Miaka 22, Naishi Dar Es Salaam... Nina umbo la wastani/urefu wa wastani, Rangi ya chocolate, Ni mjasiliamali na pia najiendeleza kielimu, sina mtoto,. Ni Mkwel na Mcha Mungu, Mkristo, Nina Akili Ya Maisha, Ni Muelewa na Nipo makini sana hasa kwenye mambo ya maendeleo, ninajali na nina heshima, nimefunzwa vizur kwetu, mengine tutafahamiana PM
Sifa Za Anaetakiwa
1.Miaka 28 na kuendelea
2.Awe Mkristo
3.Asiwe Mweusi Wala Mfupi
4.Awe na kazi maalumu ya kueleweka inayomuingizia kipato
5.Usiwe Mkurya wala Mjita
6.Usiwe Mme Wa Mtu (I want a free man to build future with)
7.Awe Muelewa, Mpole na anaejielewa anahitaji nini katika maisha.
8.Ukiwa na mtoto sio tatizo
Kama ni kwel upo serious na una hitaji mke ili muyajenge maisha pamoja, na unakidhi sifa hizo hapo juu, ni PM tufahamiane zaidi.... Mbarikiwe.
Jion njema.
PM= Potelea MbaliHivi PM ndiyo wapi?