gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
Uzi ule wa kimajungu majungu ya jf, mtu hana hata facts assumptions nyingiii. Mie pia UVCCM na huyo bwana namfahamu fika.
Tukirudi kwa mada, ticha huo upeondo wewe uliubahatisha tu, ila haupo. Ndoa saivi ni kusettle ama kuzidiana akili tu, ukisubiria upendo huo, utangoja sanaaa. Mapenzi ya kweli hamanaaaaa! Ukiona mtu yupo na mtu mjini hapa basi kuna kitu lazimaaa. Mimi kati ya watu wote wanaoolewa rika langu, sijaona true love hata ya kuvuta na manati. Mostly unakuta msichana kajinasisha anangangania aolewe, bwana anakubali shingo upande. Au kaka kamuona dada anajiweza basi ndo anajiweka jumla jumla.
Huyu bi dada mkomavu kaona yoteeee! Ndo maana ataka kusettle na mtu so as life to go on, watajifunza kupendana humo humo ndoani.
so, now she is payin the cost of forcing that love enh!