Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,853
- 41,181
Wenye degree wakikosekana ni pm mimi, nimeishia shule za St. KAYUMBA.
hahahaha...........mume mwenyewe ndo kama mzabzab.kwa mentality hii ndio maana ndoa hazikai. wacha tugegedane na kuachana
Kwa hiyo mume ndo kazi?Inavyoonekana we una matatizo.Kapime kwanza.kama kupata kazi ni ishu.si bora nitafute mume?
Mie nina vigezo vyote na kwa sasa ninafanya biashara zangu ambazo zinanipa kipato kizuri.
Kwasasa nipo brussels kibiashara na ntarejea hapo nyumbani Dar mwezi wa sita ili tuonane face to face ingawa nimeshakuwekea PM.
Ila masharti yangu ndiyo hayo ya kwenye PM kwamba ni lazima uwe 'BIKRA'sitaki 'BIKRA'za kichina mie!
mimi nina masters pablic health management ila nimeamua kuiweka sandukuni, kwa sasa naendesha daladala, je sikufai? Kama nakufaa ni pm.mimi ni msichana wa miaka 26.elimu yangu ni shahada moja.sifanyi kazi.ni mwembamba,maji ya kunde.mkristo.
Natafuta mme msomi.at least degree ,mwenye hofu ya mungu,mwenye kazi ya maana ,mkristo ,mwenye mapenzi ya dhati,umri kuanzia miaka 29-35.kama uko interested ni pm
hahahaha...........mume mwenyewe ndo kama mzabzab.
ndo hvyo bwana.........piga kazi maisha yaendelee kama yupo utampata tu mbele ya safari.hahahaha ila una kaukweli hapo...sasa utagegedwa na wangapi?
mimi nina masters pablic health management ila nimeamua kuiweka sandukuni, kwa sasa naendesha daladala, je sikufai? Kama nakufaa ni pm.
una TBS?mimi ni msichana wa miaka 26.elimu yangu ni shahada moja.sifanyi kazi.ni mwembamba,maji ya kunde.mkristo.
Natafuta mme msomi.at least degree ,mwenye hofu ya mungu,mwenye kazi ya maana ,mkristo ,mwenye mapenzi ya dhati,umri kuanzia miaka 29-35.kama uko interested ni Pm
Duuh, ukweli na uwazi.Una BIKRA? au umeshajiozea unatafuta pa kufia.Afu niyi wembamba mna .........ndefu sana .I don like
mimi ni msichana wa miaka 26.elimu yangu ni shahada moja.sifanyi kazi.ni mwembamba,maji ya kunde.mkristo.
Natafuta mme msomi.at least degree ,mwenye hofu ya mungu,mwenye kazi ya maana ,mkristo ,mwenye mapenzi ya dhati,umri kuanzia miaka 29-35.kama uko interested ni Pm
Mie nina vigezo vyote na kwa sasa ninafanya biashara zangu ambazo zinanipa kipato kizuri.
Kwasasa nipo brussels kibiashara na ntarejea hapo nyumbani Dar mwezi wa sita ili tuonane face to face ingawa nimeshakuwekea PM.
Ila masharti yangu ndiyo hayo ya kwenye PM kwamba ni lazima uwe 'BIKRA'sitaki 'BIKRA'za kichina mie!
dada kama hufanyi kazi, nani anataka goli kipa? maisha magumu siku hizi ni kusaidiana, nakutakia kila la kheri ila kukushauri tafuta kwanza kazi, mume utampata huko huko