Anachopa huyo..halafu wee chagua chagua tukigoma mbali huko siwezi kupanda treni mie
Pesa ipo mume wangu?Mimi ni kijana wa miaka 34 natafuta msichana wa kuoa niko Kigoma sifa awe na nidhamu na mcha Mungu na awe maji ya kunde au mweupe awe na nyama nyama na siyo kimbau mbau..... Aje in box.....
usichague sana nawe kwani ukimwi ni ugonjwa acha kunyanyapaa muoe ivo ivoHiyo ya kwako b mimi awe tayari kupima