Unanunua Bei ganiHabari Wapendwa wa Jamii Forums
Natafuta mkulima wa hizi tufanye biashara hii inaitwa English Cucumber kama inavyoonekeana hapa pichani.
Kama naweza pata mtu tuwasiliane kwa namba hii 0684-753836
View attachment 2567326
Niambie bei unauzaje ili niweze kubargain huwa nanunua bei tofauti tofautiUnanunua Bei gani
200 kwa pisi moja,Niambie bei unauzaje ili niweze kubargain huwa nanunua bei tofauti tofauti
Lincoln naomba unipatie namba yako watsaap tuwasiliane zaidi200 kwa pisi moja,
Unachua pisi ngapi na kila baada ya mda gani,na upo mkoa gani
Mimi niko dar naweza chukua PC nyingi tu cause ni biashara nafanya.200 kwa pisi moja,
Unachua pisi ngapi na kila baada ya mda gani,na upo mkoa gani
Pisi ngapi na kila baada ya mda gani utahitaji,au unanunua kwa viroba? Mbona Kama umepooza ndugu,changamkaMimi niko dar naweza chukua PC nyingi tu cause ni biashara nafanya.
Kuanzia 50-100 nitakuwa nachukua mara kwa mara maana nauza piaPisi ngapi na kila baada ya mda gani utahitaji,au unanunua kwa viroba? Mbona Kama umepooza ndugu,changamka