Ndenji five
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 1,985
- 3,083
Mi nikijana wa miaka kati ya 27 had 34 nimeoa na nina watoto wawili, nimekuja kwenye jukwaa hili nikiitaji mke wa pili yaan bimdogo, na sababu za kutafuta mke, wa pili moja niko na miradi ambayo inaitaji usimamizi mke jambo la pili napenda sana watoto yaan angalau nataka niwe na watoto japo 8 hivi, mke wangu nilie nae kaambiwa mwisho wa kuzaa watoto 3 anamatatizo kidogo ya uzazi,
Kwahiyo alie tayari aje pm kigezo cha mwanamke wa pili uwe tu na uwezo wa kudhaa, kuhusu tabia, rangi, sura, kwangu havina nafas hata uwe na tabia za kininja kwangu utanyoka, kuhusu mali usiwe mpenda vikubwa, usije ukanifilisi, tu mirad twangu ulidhike, hapa mungu utamjua, yesu utamjua, bar utaenda na kwa waganga utaenda, niko serius kwa hilo kama kweli waitaji kuolewa
Kwahiyo alie tayari aje pm kigezo cha mwanamke wa pili uwe tu na uwezo wa kudhaa, kuhusu tabia, rangi, sura, kwangu havina nafas hata uwe na tabia za kininja kwangu utanyoka, kuhusu mali usiwe mpenda vikubwa, usije ukanifilisi, tu mirad twangu ulidhike, hapa mungu utamjua, yesu utamjua, bar utaenda na kwa waganga utaenda, niko serius kwa hilo kama kweli waitaji kuolewa