Hapo kanisani wameisha ? Kaoe kijijini kwenu boss ! wanawake wa J|F watakulia hela tu !Nina Miaka 28,nimeokoka..natafuta mke tutakayekubali kuishi pamoja. Umri kuanzia 22-26,elimu atleast form Six and above ,awe mkristo na aliyeokoka. Ni PM Kama utakuwa tayari
Kukejeli si kuzuri ila ukijisikia kufanya hivyo unaruhusiwa pia
Ndio maana yakeUmesema mke HIV positive are u the same
Nenda kwenye vituo vya huduma endelevu(CTC) Maana huko ndio utapata mchumba mwenye kigezo ulichotoa.Nina miaka 28, nimeokoka natafuta mke tutakayekubali kuishi pamoja. Umri kuanzia 22-26, elimu atleast form Six and above, awe mkristo na aliyeokoka.
Ni PM kama utakuwa tayari
Kukejeli si kuzuri ila ukijisikia kufanya hivyo unaruhusiwa pia.
Bado nakumbushiaNina miaka 28, nimeokoka natafuta mke tutakayekubali kuishi pamoja. Umri kuanzia 22-26, elimu atleast form Six and above, awe mkristo na aliyeokoka.
Ni PM kama utakuwa tayari
Kukejeli si kuzuri ila ukijisikia kufanya hivyo unaruhusiwa pia.