nashindwa kuwaelewa baadhi ya wanajamii,hv mmejiunga jamii ili mkashifu watu kwa hoja zao au tusaidiane mawazo na ushauri.?nadhani tuwe waungwana kujali hisia za mtu si kashfa na kebehi.haina maana.tupeane ushauli wa maana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.