Akida MALCOLM X
JF-Expert Member
- Jul 4, 2014
- 483
- 452
Habari za wakati, kama mada inavyo jieleza.
Mimi ni baba wa Kiislam, mwenye miaka 38, nina mke na watoto watatu.
Natafuta mwanamke mjane wa Kiislam, anayefata Manhaj Salafi! Umri usizidi miaka 32, akiwa na mtoto au asiye na mtoto, awe mrefu, si mnene sana wala mwembamba sana. Sichagui rangi wala kabila.
Mwenye vigezo njoo PM.
Mimi ni baba wa Kiislam, mwenye miaka 38, nina mke na watoto watatu.
Natafuta mwanamke mjane wa Kiislam, anayefata Manhaj Salafi! Umri usizidi miaka 32, akiwa na mtoto au asiye na mtoto, awe mrefu, si mnene sana wala mwembamba sana. Sichagui rangi wala kabila.
Mwenye vigezo njoo PM.