ha ha ha, kidogo nitoke povu.
Nikapotezea tu
Naye huyu kahesabiwa......!
poa....za masiku......?
uwe mkubwa futi kumi na mbili kwa kumi na tato utoshe kuweka kitanda changu cha sita kwa sita
maeneo ya sinza kodi iwe bei rahisi kidogo na umeme na maji viwe vya uhakika
Poa tu sijui wewe!
nimekumiss.....unajua mahali kuna mchumba umpatiamo huyu jamaa.........