kingjohn255
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 383
- 474
Habarini za leo wakuu? natafuta nyumba ambayo naweza kuifanya office
Sifa za nyumba, iwe inajitegemea, iwe barabarani(iwezwe kuelekezeka, na iwe wilaya ya kinondoni(kawe chini, Mbezi Beach, Mikocheni, Kinondoni yenyewe, Kijitonyama, Mwenge, Sinza, Makumbusho, Msasani, Oysterbey na Masaki
Budget kwa mwezi kuanzia laki 3(300000) hadi laki 5(500,000)
Ikikosekana nyumba basi hata fremu kubwa yenye sifa hizo na maeneo hayo, ukiwa nayo nipigie +255 (0) 719 263 074
NB: ukinipigia uwe nayo kabisa na inayokidhi hivyo vigezo ikiwa tofauti na hapo ile sijui pesa ya kuonyeshwa sitaweza kukupatia
Sent from my SM-A245F using JamiiForums mobile app
Sifa za nyumba, iwe inajitegemea, iwe barabarani(iwezwe kuelekezeka, na iwe wilaya ya kinondoni(kawe chini, Mbezi Beach, Mikocheni, Kinondoni yenyewe, Kijitonyama, Mwenge, Sinza, Makumbusho, Msasani, Oysterbey na Masaki
Budget kwa mwezi kuanzia laki 3(300000) hadi laki 5(500,000)
Ikikosekana nyumba basi hata fremu kubwa yenye sifa hizo na maeneo hayo, ukiwa nayo nipigie +255 (0) 719 263 074
NB: ukinipigia uwe nayo kabisa na inayokidhi hivyo vigezo ikiwa tofauti na hapo ile sijui pesa ya kuonyeshwa sitaweza kukupatia
Sent from my SM-A245F using JamiiForums mobile app