Sioi Leo, Sioi Kesho, wala mtondogoo,
Sioi Mchana, Sioi Usiku, Wala Majogoo,
Alielala na Bibi Harusi,
Siku moja kabla ya Harusi,
Na wala sio Bwana Harusi,
bado mnanishauri Harusi??
Hamuwezi kua hamjaelewa!!
Thank you!!!nyie mkimPM....itakuwaje....?
Aisee vidume vimeisha, yani mdada keshaweka bango halafu pia mnataka amipm, kesho yeye atoe offer ya outing! Nilidhani ni udomo zege but this is more than that!
Mm ni mscana wa miaka 25.graduate,mrefu,shape ya kiafrika,nabia nzuri.natafuta mchumba kuanzia miako 29 -40.awe mchristo,mrefu,.mwenye mapenzi ya kweli.mengine tutaongea
Sioi Leo, Sioi Kesho, wala mtondogoo,
Sioi Mchana, Sioi Usiku, Wala Majogoo,
Alielala na Bibi Harusi,
Siku moja kabla ya Harusi,
Na wala sio Bwana Harusi,
bado mnanishauri Harusi??
Hamuwezi kua hamjaelewa!!
aaaaanhaaaaaa mi nilikua nakutafuta wewe tuchat sasa umekuja....welcome!:israel:Natafuta marafiki wa kuchat nao (am looking for friends to chat)
Mm ni mscana wa miaka 25.graduate,mrefu,shape ya kiafrika,nabia nzuri.natafuta mchumba kuanzia miako 29 -40.awe mchristo,mrefu,.mwenye mapenzi ya kweli.mengine tutaongea