Nasubiri majaliwa, sitokata tamaa, mwenzenu nahangaika kweli namtafuta mwenza, nimechoshwa na ukapera
Haya sasa, wabantu soko lenu kwishney.
Sahv tunakimbilia kwa wahindi na waarabu.
Kuna wahindi fulani nimewaacha jukwaa la wakubwa, wasubirie kidogo.