sandramalando
Member
- Oct 25, 2016
- 37
- 16
Mimi ni binti wa miaka 25 elimu yangu ni form four, natafuta mchumba alie tayari kua kwenye mahusiano na baadae kua mume, sichagui dini wala kabila, ila awe mkweli.
Hebu fafanua kidogo hapo kwenye red... mahusiano gani hapo unayoyazungumzia??? Kama ni ya vikojoleo, niko tayari wallah. Tuvikutanishe tuone kama vitaweza kutupeleka kwenye ndoa. Nakuahidi utapata ushirikiano mzuri sana toka kwa wake zangu watatu na michepuko kadhaa...Mm ni BINTI wa miaka 25 elimu yangu ni form four,natafuta mchumba alie tayari kua kwenye mahusiano na baadae kua mume.sichagui dini wala kabila,ila awe mkweli
Kua tayari vipi?Mm ni BINTI wa miaka 25 elimu yangu ni form four,natafuta mchumba alie tayari kua kwenye mahusiano na baadae kua mume.sichagui dini wala kabila,ila awe mkweli
Karbme nimetimiza vigezo.. nije pm?
Je wewe mwenyewe mkweli?Mm ni BINTI wa miaka 25 elimu yangu ni form four,natafuta mchumba alie tayari kua kwenye mahusiano na baadae kua mume.sichagui dini wala kabila,ila awe mkweli
Upo mkoa gani?Na ndio maana nikaandika
Ndio wapi huko PM?Hana nauli ya kufika huko!NJOO PM
NJOO PM
ngoja nije huko pm kama bado nafasi ipo!!Na ndio maana nikaandika
Karbngoja nije huko pm kama bado nafasi ipo!!
Kwa ubishi na hasira mimi naja pmMm ni BINTI wa miaka 25 elimu yangu ni form four,natafuta mchumba alie tayari kua kwenye mahusiano na baadae kua mume.sichagui dini wala kabila,ila awe mkweli
ili maisha yaende challange muhimuwati mnakejeli kwenye nyuzi zilizo craz.
yaan babu umenishinda tabia wwHebu fafanua kidogo hapo kwenye red... mahusiano gani hapo unayoyazungumzia??? Kama ni ya vikojoleo, niko tayari wallah. Tuvikutanishe tuone kama vitaweza kutupeleka kwenye ndoa. Nakuahidi utapata ushirikiano mzuri sana toka kwa wake zangu watatu na michepuko kadhaa...
Tupia namba za simu fasta nikutumie nauli uje hapa Torabora kwa ajili ya kufanya mahusiano kabla ya ndoa.
Hata mimi nakupenda pia. Sema tu ile picha kule jukwaa la wakubwa ilinikwaza.yaan babu umenishinda tabia ww
kweli ile picha imekukwaza babu hii mara ya pili unaongea sio mm yule alijiskia tu kuongea sasa na yule wa jana alieibuka na kunianzishia thread na kuweka mapicha yake naona hujamuona sio mm kabisaHata mimi nakupenda pia. Sema tu ile picha kule jukwaa la wakubwa ilinikwaza.