Natafuta mchumba wa kuoa

katto14

JF-Expert Member
Jul 28, 2016
226
62
Wasifu wangu
Age 30,Elimu chuo kikuu, kazi - nimeajiriwa, nko dar,

Sifa za mchumba wa kike
Age 22 and above. Sina ubaguzi wa kabila, dini , etc. Cha msingi upendo wa dhati.

Njoo PM mchumba tuyajenge
 
Napenda wakuulize, mshahara wako una digit ngapi?, una nyumba?, Dar foleni na joto; je una kausafiri hata kale ka 7mil tu?. Wewe ni mtoto wa ngapi ktk familia yenu?, ukoo wenu ukoje kwa idadi?..............Nakutania ndg yangu, watakuja tu!...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom