karibu bibie!
ahsante dear nikaribie wapi sasa,sebuleni,jikoni au mpaka..........
karibu bibie!
ahsante dear nikaribie wapi sasa,sebuleni,jikoni au mpaka..........
Hi! naitwa paul nina umri wa miaka 28,ni mwanafunzi wa chuo .natafuta mchumba ili mungu akipenda,aje kuwa mke wangu wa ndoa.anatakiwa awe mkristo na mwenye hofu ya mungu,umri kati ya 18-26.kama kuna mtu yuko tayari tuwasiliane kwa email(salawaps@yahoo.com) kwa mawasiliano zaidi.please this is serious.
kila la kheri mwaya.
mmmh, wengine hapa wanatoa KILA LA HERI kumbe ameshatuma private msg kwa muombaji.
hakuna tego huko lakini nisije shangaa mashavu yanachuma kunde ghaflahapa watoto wengi karibia chumbani......
hiivi wengine huwa hawako serious eeh? weka na picha yako kamanda kuprove usiriazi wakoHi! naitwa paul nina umri wa miaka 28,ni mwanafunzi wa chuo .natafuta mchumba ili mungu akipenda,aje kuwa mke wangu wa ndoa.anatakiwa awe mkristo na mwenye hofu ya mungu,umri kati ya 18-26.kama kuna mtu yuko tayari tuwasiliane kwa email(salawaps@yahoo.com) kwa mawasiliano zaidi.please this is serious.