Natafuta mchumba mschana ili mungu akipenda aje kuwa mke wangu.

Hi! naitwa paul nina umri wa miaka 28,ni mwanafunzi wa chuo .natafuta mchumba ili mungu akipenda,aje kuwa mke wangu wa ndoa.anatakiwa awe mkristo na mwenye hofu ya mungu,umri kati ya 18-26.kama kuna mtu yuko tayari tuwasiliane kwa email(salawaps@yahoo.com) kwa mawasiliano zaidi.please this is serious.

Wewe unasema Mungu akipenda,ni mungu gani huyo unayemzungumzia?Kama unamzunguzia Mungu wa Israel, hataki utafute mwamke kwenye mtandao.Mtakuja kuoa makahaba na majini.
 
Ushindwe kabisa maana Mungu asipopenda awe mke wako si utakuwa umeshamrukia bure binti wa watu na kumwongezea list ya waliomfunua
 
Hi! naitwa paul nina umri wa miaka 28,ni mwanafunzi wa chuo .natafuta mchumba ili mungu akipenda,aje kuwa mke wangu wa ndoa.anatakiwa awe mkristo na mwenye hofu ya mungu,umri kati ya 18-26.kama kuna mtu yuko tayari tuwasiliane kwa email(salawaps@yahoo.com) kwa mawasiliano zaidi.please this is serious.
hiivi wengine huwa hawako serious eeh? weka na picha yako kamanda kuprove usiriazi wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom