Sio mungu ni Mungu.Umeandika nin sasa
Habari zenu wanajukwaa, mimi ni kijana kutokea nyanda za juu kusini ni muhitimu wa chuo, moja ya vyuo vikuu hapa nchini, natafuta mwanamke ambaye atakuwa mke wangu hapo badae umri wangu ni miaka 26 kwa sasa ila sina ajira kwa sasa namsubiria mheshimiwa afungue dirisha la ajira nchini.
Dini yangu ni mkristo
Mwanamke awe na vigezo vifuatavyo;
Dini: mkristo
Umri: miaka 18-25
Kabila: lolote ila sio mchaga
Rangi: yoyote
Aliyetayar aniPm
Mengine tutazungumza baada ya kutafutana.
Natanguliza shukrani
Wewe elewa kuwa hatak kuoa mchaga basi,hayo mengine ya kuwa sio watu aanzishia thread nyingneKwa hyo mchaga sio mtu au
hakuna wenye unafuu wote ni walewaleWachaga wenye nafuu ni warombo tu bas hao wengine ni majanga asee