Natafuta mchumba age kuanzia 40-42

wewe una umri gani? Kama ni above 35 pole sana. Ujana wako ulikuwa wapi mpaka ukumbuke shuka usiku? Kwa kawaida mwanamke mwenye umri wa miaka 20-28 hawezi kuwaza kuwa na mume wa miaka 40 unless na yeye yuko huko jirani. Kama una above 35 pole sana. Tulia tu
 
wewe una umri gani? Kama ni above 35 pole sana. Ujana wako ulikuwa wapi mpaka ukumbuke shuka usiku? Kwa kawaida mwanamke mwenye umri wa miaka 20-28 hawezi kuwaza kuwa na mume wa miaka 40 unless na yeye yuko huko jirani. Kama una above 35 pole sana. Tulia tu
Don't blame her please. Hujui nini kilimpata mpaka sasa ana mtoto na bado yupo single. Kwanza, kwa kawaida wanawake ndo wanatafutwa na wanaume na kama hawakujitokeza ndo hivyo tena. Na pili, inawezekana alidanganywa na baba wa mtoto na kuzalishwa. Na wote tunajua illivyo ngumu kwa mwanaume kuoa mwanamke ambaye tayari ana mtoto.
 
Ya kwa maisha ya sasa nakuelewa. Lakini pia ungeweka na kamtandao kako ili watu waweze kutwanga. Utapata tu maana kuna wenzako ambao nao wanatafuta pia kama wewe. I promise
 
No matter what happened to her, kwa kawaida mwanamke mwenye umri wa miaka 40 ambaye mi namuona ni mtu mzima hawezi kuja hapa jamvini na kutafuta mchumba. From there unaweza tu kujua kwenye ujana wake alikuwa anafanya nini?
 
Utapata usiwe na haraka ebu ongeza sifa nyingine ulizonazo eg;ukubwa wa kiuno chako,urefu wako,Miguu yako ni chupa ya bia au fito ili nijiandae kununua suali kwa sana,rangi yako mweusi,mweupe au maji ya kunde,makalio yakoje,kifua kimekaaje ?,je una mtoto.uko tayari kubeba mimba maana umri wako wanawake wengi wameshapumzika.

Ebu tuma fasta......ueda umeshapata mume.

khaaaaa!
Ngongooo..
 
ujana wako ulikuwapi na ulikuwa na nani? nakutania, lakini usife moyo, kuna mtu mmoja anatafuta wa age hiyohiyo kama wewe, Mungu atakukutanisha nawe...lakini uwe makini, mwingine anaweza kuja kwako kumbe ana watoto wanne wa mke wake wa zamani aliyekufa, akakuficha, siku ukastukia anakuletea rundo la watoto home na ndoa umeshafunga...utalea watoto na ndoa itakuwa chungu...
 
ni maji ya kunde, umbile la kichaga, kifua kipana makalio kiasi nina mtoto mmoja sijapumzika kubeba mimba naona yatosha




Mama uko sirias au unachangamsha jukwaa tu,maana duh,,,,,,,,,,,,,,, nasubiri jibu niendelee.......
 
No matter what happened to her, kwa kawaida mwanamke mwenye umri wa miaka 40 ambaye mi namuona ni mtu mzima hawezi kuja hapa jamvini na kutafuta mchumba. From there unaweza tu kujua kwenye ujana wake alikuwa anafanya nini?
Thats some bull....dadaa! me nipo single!,6ft tall,9 year old daughter(mixed),ila tu nipo marekani but we can work things out!
 
Hiyo age uliyotaja ndugu utakuta lazima ana watoto, kafiwa au kuachana na mke/wake. Nakutakia kila la heri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom