mimi nina 40yrs ninafanya kazi pia
Kwa umri wako panua wigo:thinking:. All other factors constant, 40-42 man atatafuta a woman of much younger age than 40
mimi nina 40yrs ninafanya kazi pia
Don't blame her please. Hujui nini kilimpata mpaka sasa ana mtoto na bado yupo single. Kwanza, kwa kawaida wanawake ndo wanatafutwa na wanaume na kama hawakujitokeza ndo hivyo tena. Na pili, inawezekana alidanganywa na baba wa mtoto na kuzalishwa. Na wote tunajua illivyo ngumu kwa mwanaume kuoa mwanamke ambaye tayari ana mtoto.wewe una umri gani? Kama ni above 35 pole sana. Ujana wako ulikuwa wapi mpaka ukumbuke shuka usiku? Kwa kawaida mwanamke mwenye umri wa miaka 20-28 hawezi kuwaza kuwa na mume wa miaka 40 unless na yeye yuko huko jirani. Kama una above 35 pole sana. Tulia tu
mwanaume kuanzai 40-42 asante
Utapata usiwe na haraka ebu ongeza sifa nyingine ulizonazo eg;ukubwa wa kiuno chako,urefu wako,Miguu yako ni chupa ya bia au fito ili nijiandae kununua suali kwa sana,rangi yako mweusi,mweupe au maji ya kunde,makalio yakoje,kifua kimekaaje ?,je una mtoto.uko tayari kubeba mimba maana umri wako wanawake wengi wameshapumzika.
Ebu tuma fasta......ueda umeshapata mume.
Hapo utasugua sana benchi maana wote wanamilikiwa tayari labda uombe kuwa nyumba ndogo
ninatafuta mchumba mkristo age 40-42 awe anafanya kazi kama mimi na mcha mungu pia.
huyo kuzaa inaweza kuwa tabu kidogo, labda kama hutaki mtoto!!! Nakutahadhalisha
ni maji ya kunde, umbile la kichaga, kifua kipana makalio kiasi nina mtoto mmoja sijapumzika kubeba mimba naona yatosha
Ndo likoje hilo?umbile la kichaga,
Ndo likoje hilo?
Kama wanasimamia mikono vile!
Thats some bull....dadaa! me nipo single!,6ft tall,9 year old daughter(mixed),ila tu nipo marekani but we can work things out!No matter what happened to her, kwa kawaida mwanamke mwenye umri wa miaka 40 ambaye mi namuona ni mtu mzima hawezi kuja hapa jamvini na kutafuta mchumba. From there unaweza tu kujua kwenye ujana wake alikuwa anafanya nini?
ingia afrointroductions.com
chagua nchi unayotaka huyo mchumba atoke
chagua na age pia
chagua na nationaluty unayotaka huyo mchumba awe
anza kucommunicate
SIMPLE!
All the best