Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,925
- 38,611
Alivyoitamka eti angalau 15000 tu kwa siku.Hyo hela ndio anayolipwa boss wa ofisi. Hapo anapoenda kuomba kazi aende kuomba kazi ya kuwa boss.
Alivyoitamka eti angalau 15000 tu kwa siku.Hyo hela ndio anayolipwa boss wa ofisi. Hapo anapoenda kuomba kazi aende kuomba kazi ya kuwa boss.
hehe kweli kabisa, kuna kipindi nilikuwa site, kupandisha tofali la inch 6 gorofani sh mia, kuna jamaa alikuja akabeba tofali 300 , sawa na elfu thelasini., wakati wengine tofali 100 tu wanachemsha!Kila kazi zina watu wake, hata upigike namna gani kuna kazi huwezi zifanya. Utapuyanga au kujisababishia matatizo kiafya.
Uko pand zp mkuu?Habari wakuu, mwenye anaweza nipatia kazi yeyote Ile iliyohalali nipate kupata chochote Hali si shwari.
Kazi yeyote iwe ya kutotumia ujuzi kama vibarua Kwa kiwanda, saidia fundi, shambani nk.
Nipo mbeya mkuuUko pand zp mkuu?
Samahani mkuu,huu mchongo bado upo?Kuna wale rafiki zangu hawachagui Kazi hawana Mishe yoyote ukiwapa direction wapi Kazi ilipo wanakwenda kufanya mladi Tu iwe ya Halali
Nna ujumbe wenu hapa
Kama uko dar fika mpaka Gongo la mboto mwisho opposite na chuo cha Kampala ukifika hapo uliza mtu akuelekeze kilipo kiwanda kinaitwa NAMELA
Hiki ni kiwanda cha nguo ndio hatua ya Kwanza kabisa ya uandaaji nguo kama mashuka..khanga..vitenge maduvet n.k ufanyika na Kisha baada ya hapo mzigo upelekwa NIDA pale bara bara ya Mandera kwa ajili ya ukamilishaji kuwa nguo kamili
Kwaiyo kijana yoyoye aliepo around Gongo la mboto Majohe au maeneo anayoweza kufika hapo NAMELA naomba kuanzia kesho asubuhi avae vizuri kwa heshima aweke nywele zake smart ata ukisimama mbele za watu unaonekana mwenye tabia njema sio unaenda kuomba Kazi umevaa modo uko nusu uchi au umenyoa viduku na unanuka sigara
Ukifika getini muulizie mtu mmoja anaitwa chifu na umwambie umekuja kuomba Kazi yoyote atakae taja jina Hili pale getini huyu mtu atajua Moja kwa Moja umetoka Kwangu so utapewa maelekezo kwa haraka
Kumbuka kubeba kitambulisho cha kupigia Kura au namba ya Nida
Cha kuzingatia unadhifu wako maana mwingine akifika getini anaambiwa hakuna kazi kutokana na alivyokwenda kumbuka kupendeza unapokwenda kuomba Kazi maana wewe ni masikini tuu sio kichaa