Mtanzania0592
Member
- Oct 22, 2018
- 34
- 83
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Umri wangu ni miaka 31,jinsia me..natafuta kazi yoyote halali hapa dodoma.
Elimu yangu ni kidato cha sita ila pia nina uzoefu basic wa computer.
na wadhamini kama watahitajika wapo.
Natanguliza shukrani.
MODS naomba mnisaidie ku edit heading
Umri wangu ni miaka 31,jinsia me..natafuta kazi yoyote halali hapa dodoma.
Elimu yangu ni kidato cha sita ila pia nina uzoefu basic wa computer.
na wadhamini kama watahitajika wapo.
Natanguliza shukrani.
MODS naomba mnisaidie ku edit heading