Amen Mungu amfanyie wepesi apate kazi
Mkuu mimi sina kazi yakukupa ila Hapo kwenye 5K kwa siku umezingua mkuu...hata kama una shida usiji under value mwisho wa siku mtu akikupa hiyo kazi hiyo hela haitoshi kutokana na nature ya kazi (inahitaji uvae smart, ule vizuri ili uwe presentable, hujaweka vocha, kababy na fungu la ndugu) kiufupi shida zitaendelea kama kawaida.Mie ni kijna miaka 24 ,mwenye hofu ya Mungu na mpambanajii
Mie ni mwenyeji wa Kahama , nipo mwanza kuanza maisha rasmi baada ya kumaliza chuo dar es salaam na kupambana sana ,
nimefanya biashara lakin bado sikufanikiwa ,
1, nilifanikiwa kufungua kampuni ndogo ya usafi wa majumbani ,maofisin namahospitalini , ilikufa kutukana na kushindwa kuendesha sabab ya mtaji ulikuwa. Mdgo
2,nimefanya biashara ndogo ndogo nyingi
Nimeuza asalii mbichii nimetembea Sana jijini dar se salaam
Nimeuza vimfuko
Nimeuza viatu vya mtumba
Udalali nimefanya
Na nyingine nyingi
Sasa nimehamia MWANZA baada ya kufeli dar es salaam
Kielimu :nina diploma marketing in public relations
Uzoefu wa kazi tofauti tofauti
1, nimefanya kazi ya store keeping kwa miez mitano katika duka moja hapo kariakoo jijin dar es salaam
2,nimefundisha masomo ya kiingereza. na hesabu ( darasa la kwanza Hadi O level)
3,nimewahi kuendesha account ( social media ) za moja ya msanii hapa bongo
4, nimewahi uza duka la vifaa vya keki
KAZI NAZO HITAJI
1,Kufundisha ( masomo ya kiingereza na hesabu )
2, kuuza duka, au kusaidia dukani
3, marketing officer
4, store keeper
Note : kazi yeyote halalii nafanya yenye malipo kuanzia 5000/= kwa siku
MUNGU NI WETU SOTE , ALIYEKUPA WEWE NA MIE IPO SIKU ATANIKUMBUKA
NAWASILISHA !!!!!!!!! 0626456047
Wabunge wasenge sana aisee yaani me huwa hata sioni wanachofanya hii inchi kuna watu wanalipwa kuwa wapumbavuHebu cheki na mchina huyu anayejenga road ya igoma buhongwa.akajaza wakenya inabidi wale wakenya waletewe fujo waondoke Mana uhamiaji wakija pale kwa mchina wanatulizwa Kama mtt wakenya wanaachwa. Mshika kibendera hata unaweza ukafanya.ama ukawa msaidizi wa saveya malipo ya kibarua saiti ya ujenzi unaanzia 16500.
Fika pale upambane Ni nchi yako na wewe una mamlaka nayo.
Mbunge aliambiwa Ila bado nawaona wakenya wapo. Inabidi Hawa washughulikiwe na wananchi Mana kiongozi Ni mtu mmoja tu anaweza akatongozwa akakubalika
Ni sawa lkn brother hii yote unatokana na ugumu wa maishaMkuu mimi sina kazi yakukupa ila Hapo kwenye 5K kwa siku umezingua mkuu...hata kama una shida usiji under value mwisho wa siku mtu akikupa hiyo kazi hiyo hela haitoshi kutokana na nature ya kazi (inahitaji uvae smart, ule vizuri ili uwe presentable, hujaweka vocha, kababy na fungu la ndugu) kiufupi shida zitaendelea kama kawaida.
Asante.. mbunge wa hapo ni nanj? Namuende hewani bnafsiHebu cheki na mchina huyu anayejenga road ya igoma buhongwa.akajaza wakenya inabidi wale wakenya waletewe fujo waondoke Mana uhamiaji wakija pale kwa mchina wanatulizwa Kama mtt wakenya wanaachwa. Mshika kibendera hata unaweza ukafanya.ama ukawa msaidizi wa saveya malipo ya kibarua saiti ya ujenzi unaanzia 16500.
Fika pale upambane Ni nchi yako na wewe una mamlaka nayo.
Mbunge aliambiwa Ila bado nawaona wakenya wapo. Inabidi Hawa washughulikiwe na wananchi Mana kiongozi Ni mtu mmoja tu anaweza akatongozwa akakubalika
Shukran boss nitaendaBy the way kwenye viwanda vya Nondo watu wanaanza Leo kesho hawarudi na huwaoni tena ila kama unashida pambana tafuta nauri nenda Tanga Mjini sehemu inaitwa Amboni kwa liyemba kwenye kiwanda cha chokaa pale kazi ni uhakika na watu wanakomaa au mcheki Spartacus boy akuunganishe kwenye mashamba ya chai Iringa nauri ni 60,000 tu kutokea Mwanza.
Kila mtu ashinde mechi zake mzeeWabunge wasenge sana aisee yaani me huwa hata sioni wanachofanya hii inchi kuna watu wanalipwa kuwa wapumbavu
Unaongea ukweli mkuu mwanza panahitaji akili ya ziada ili kusavaivusikukatishi tamaa ila mwanza ni kugumu mnoo, mwaka juzi nilitoka dodoma kuja kujaribu maisha hapa ila najutia sana huo uwamuzi wangu mpaka kesho, kazi nialioambulia ni kuwa saidia fundi kazi ambayo naifanya kishingo upande sana kwani ni ngumu sana ukilinganisha na malipo lakini pia mazingira ya kazi sio salama ,mafundi pia wanajiona wao ndo matajiri watakutuma kila kitu mpaka kuwaoshea vifaa vyao vya kazi pindi kazi inapofikia tamati kwa siku husika
Nilikupa mchongo mwisho wa siku umeingia mitini anyway kuna jamaa hapo juu amesema anatafuta salesman wa kuuza bima ushamchek?Mia nne inakupa kiburii
Ni pazuri ukiwa na mtaji mkubwa halafu u-deal na biashara ya vtu vya kike(mavazi na vipodozi) madada wa huku bado wana ule ushamba wa kujichubuaUnaongea ukweli mkuu mwanza panahitaji akili ya ziada ili kusavaivu