Petro Justine Nsemwa
Member
- May 4, 2023
- 7
- 13
Habari wakuu,
Mimi ni Mtanzania halisi kwa kuzaliwa nipo Mbeya mjini natafuta kazi ya udereva ambapo uzoefu wangu ni wa magari ya mizigo ( Heavy Duty trucks na normal trucks ) nimeendesha gari kubwa kwenye kampuni ya MAHENGE TIMBER ipo Mbeya-Uyole kwa miaka 3 badae nikahamia SMART TIME LOGISTICS kwa mwaka 1 na nusu.
Mpaka sasa sina gari kutokana na gari niliyokuwa naendesha ilikuwa na matatizo na badae ikauzwa. Mwenye connection na hii ishu basi mawasiliano yangu ni 0629595529
Mimi ni Mtanzania halisi kwa kuzaliwa nipo Mbeya mjini natafuta kazi ya udereva ambapo uzoefu wangu ni wa magari ya mizigo ( Heavy Duty trucks na normal trucks ) nimeendesha gari kubwa kwenye kampuni ya MAHENGE TIMBER ipo Mbeya-Uyole kwa miaka 3 badae nikahamia SMART TIME LOGISTICS kwa mwaka 1 na nusu.
Mpaka sasa sina gari kutokana na gari niliyokuwa naendesha ilikuwa na matatizo na badae ikauzwa. Mwenye connection na hii ishu basi mawasiliano yangu ni 0629595529