sosi maiko
Member
- Sep 19, 2023
- 37
- 27
Habari wapendwa.
Mimi ni graduate (I.T) ambaye kwa muda mrefu nina Hustle mtaani, Hapa Dar es salaam.
Natafuta Kazi ya Boda Boda au kazi yoyote Halali Ili nipate kujikimu kimaisha.
Uaminifu, utii, unyeyekevu na Nia Njema ndizo nguzo zangu.
Natanguliza Shukrani.
Mwemye msaada naomba sana Anifate Inbox . Mbalikiwe Sana watu wa Mungu.
Mimi ni graduate (I.T) ambaye kwa muda mrefu nina Hustle mtaani, Hapa Dar es salaam.
Natafuta Kazi ya Boda Boda au kazi yoyote Halali Ili nipate kujikimu kimaisha.
Uaminifu, utii, unyeyekevu na Nia Njema ndizo nguzo zangu.
Natanguliza Shukrani.
Mwemye msaada naomba sana Anifate Inbox . Mbalikiwe Sana watu wa Mungu.