Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Soma Yoh 4, kisa cha Yesu na mwanamke Msamaria. Yesu alimwambia waabuduo halisi, watamwabudu Mungu ktk roho na kweli, na Mungu anawatafuta watu kama hao (4:23) na si wanaomtamfuta makanisaniNdugu zangu wana MMU mie ni mgeni kidogo hapa dar natafuta kanisa la kiroho la kwenda kuabudu, kutokana na tuhuma zinazoendelea ambazo sio nzuri kiukweli kuhusu haya makanisa nimekuwa nikijiuliza kila siku kanisa lipi niwe naenda . naombeni kwa wote wanaoyaelewa haya makanisa anijuze