joseeY
Senior Member
- Nov 4, 2010
- 108
- 17
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Natafuta fundi wa laptop aliyeko Arusha. Laptop yangu inaunguruma sana ninapoiwasha pia baadhi ya button hazifanyi kazi. Kwa yeyote mwenye utaalamu naomba anipm
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app