Step by step
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 1,249
- 1,277
Habari wajumbe.
Yeyote aliyekata carina ti au mwenye kujua wapi ntapta vitu vifuatavyo.
1. Ac compressor ya ti carina.
2. Dashbod(ile saa complete yenye odometer, rpm na gauge ya mafuta)
3. Show yake ya dashbod maana iliyopo imekauka fundi alifungua ikakatika.
Kama kuna mtu anavyo hivyo basi aje inbox na bei elekezi tufanye biashara
Yeyote aliyekata carina ti au mwenye kujua wapi ntapta vitu vifuatavyo.
1. Ac compressor ya ti carina.
2. Dashbod(ile saa complete yenye odometer, rpm na gauge ya mafuta)
3. Show yake ya dashbod maana iliyopo imekauka fundi alifungua ikakatika.
Kama kuna mtu anavyo hivyo basi aje inbox na bei elekezi tufanye biashara