Habari za leo wana Jamii Forum. Naomba kama kuna mtu anafahamu Chuo Chochote cha ualimu wa Shule ya Msingi anijulishe. Nahitaji kumpeleka dogo ambaye amemaliza O Level. Nitashukuru kama nitapatiwa taarifa zifuatazo;
Jina la Chuo, Ngazi (Cheti/Stashahada), Karo na mengineyo.
Asanteni sana.
Jina la Chuo, Ngazi (Cheti/Stashahada), Karo na mengineyo.
Asanteni sana.