Elimu ya bongo ina umuhimu mwisho shule ya msingi sekondari na vyuoni ni kupoteza muda tu

Mto Songwe

JF-Expert Member
Jul 17, 2023
6,026
12,335
Kwa namna elimu yetu hapa bongo ilivyo na inavyoleta matokeo yasiyo tarajiwa kwa kundi kubwa la wasomi na vijana.

Nadiriki kusema kwa asilimia kubwa elimu ya Tanzania ina umuhimu mkubwa kwa shule ya msingi pekee( awali mpaka darasa la 7) ila sekondari na chuo ni kupoteza muda tu.

Elimu ya bongo kwa Sasa ukisha jua kusoma, kuandika na kuhesabu tayari umekwisha maliza shida zote za bongo.

Kundi kubwa huko sekondari na vyuoni hawavuni kitu chochote cha msingi zaidi ya makapi ni kundi dogo sana ndilo linatoka na chochote kitu.
 
Elimu ya bongo kwa mtaala wa necta ni muhimu sana ukifata mbinu ya wahindi wengi na waarabu wanaoishi hapa Tanzania.

Wanasoma primary. Kisha wanasoma na O level.

Baada ya hapo wanaanza fanya proffessional examz hasa hasa ACCA ama CPA kwa wanaotaka kuwa wahasibu.

Wengine huwa wanaingizwa kwenye biashara za familia yao. Kuuza maduka yao ama kusimamia kampuni zao.

Huwa Hawaendi A level wala vyuo vya kati.

Kwa wahindi Ni wanaotaka kuwa madaktari ama taaluma za afya peke yao ndio wanaendelea mpaka vyuo vikuu. Wengine wote mtaala wa necta huwa wanaishia form 4 tu.
 
Kwa namna elimu yetu hapa bongo ilivyo na inavyoleta matokeo yasiyo tarajiwa kwa kundi kubwa la wasomi na vijana.

Nadiriki kusema kwa asilimia kubwa elimu ya Tanzania ina umuhimu mkubwa kwa shule ya msingi pekee( awali mpaka darasa la 7) ila sekondari na chuo ni kupoteza muda tu.

Elimu ya bongo kwa Sasa ukisha jua kusoma, kuandika na kuhesabu tayari umekwisha maliza shida zote za bongo.

Kundi kubwa huko sekondari na vyuoni hawavuni kitu chochote cha msingi zaidi ya makapi ni kundi dogo sana ndilo linatoka na chochote kitu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nawashangaa sana watu wanaoibeza elimu.
Elimu haijawahi mfanya mtu kuwa mpumbavu bali huwajaza watu na maarifa kila aina.
Upumbavu wa mtu ni maamuzi yake yeye mwenyewe kutokana na maamuzi ayafanyayo.
 
Mbinu gan hizo

Wahindi huwa Wanasoma primary. Kisha wanasoma na O level tu.

Baada ya hapo wanaanza fanya proffessional examz hasa hasa ACCA ama CPA kwa wanaotaka kuwa wahasibu.

Wengine huwa wanaingizwa kwenye biashara za familia yao. Kuuza maduka yao ama kusimamia kampuni zao.

Huwa Hawaendi A level wala vyuo vya kati.

Kwa wahindi Ni wanaotaka kuwa madaktari ama taaluma za afya peke yao ndio wanaendelea mpaka vyuo vikuu. Wengine wote mtaala wa necta huwa wanaishia form 4 tu.
 
Nawashangaa sana watu wanaoibeza elimu.
Elimu haijawahi mfanya mtu kuwa mpumbavu bali huwajaza watu na maarifa kila aina.
Upumbavu wa mtu ni maamuzi yake yeye mwenyewe kutokana na maamuzi ayafanyayo.

Waache wanayoibeza elimu wajaribu ujinga.
 
Huyu anayeibeza elimu itakuwa anafikiri wote wanasomea Political Science, Procurement na Human resource.

Amesahau kuwa kuna profession zingine zinahitaji wasomi kwelikweli tofauti na nilizozitaja juu hapo ambapo certificate au ordinary diploma inatosha mtu kuanza kazi.

Huyu akiugua ndio ataona umuhimu wa watu wa afya kiujumla. Majengo makubwa, madaraja ya kisasa na complex infrastructure hazijajengwa na laymans hapo hesabu kubwa zinahitajika kutoka kwa wahandisi na wasanifu wa majengo na watu wa surgery.

Zipo elimu nyingi tu sio za kubeza ila amekuja kishabiki. Hata hiyo smartphone anayotumia hajui kuanzia hardware na software imebuniwa na kuundwa na wasomi wabobezi sio darasa la saba.

Elimu ndio imeifanya dunia kuwa kijiji na mleta mada kuandika upumbavu wake hapa.
 
Huyu anayeibeza elimu itakuwa anafikiri wote wanasomea Political Science, Procurement na Human resource.

Amesahau kuwa kuna profession zingine zinahitaji wasomi kwelikweli tofauti na nilizozitaja juu hapo ambapo certificate au ordinary diploma inatosha mtu kuanza kazi.

Huyu akiugua ndio ataona umuhimu wa watu wa afya kiujumla. Majengo makubwa, madaraja ya kisasa na complex infrastructure hazijajengwa na laymans hapo hesabu kubwa zinahitajika kutoka kwa wahandisi na wasanifu wa majengo na watu wa surgery.

Zipo elimu nyingi tu sio za kubeza ila amekuja kishabiki. Hata hiyo smartphone anayotumia hajui kuanzia hardware na software imebuniwa na kuundwa na wasomi wabobezi sio darasa la saba.

Elimu ndio imeifanya dunia kuwa kijiji na mleta mada kuandika upumbavu wake hapa.
Ni wapumbavu tu ndio watakao endelea kuibeza elimu.
 
Wahindi huwa Wanasoma primary. Kisha wanasoma na O level tu.

Baada ya hapo wanaanza fanya proffessional examz hasa hasa ACCA ama CPA kwa wanaotaka kuwa wahasibu.

Wengine huwa wanaingizwa kwenye biashara za familia yao. Kuuza maduka yao ama kusimamia kampuni zao.

Huwa Hawaendi A level wala vyuo vya kati.

Kwa wahindi Ni wanaotaka kuwa madaktari ama taaluma za afya peke yao ndio wanaendelea mpaka vyuo vikuu. Wengine wote mtaala wa necta huwa wanaishia form 4 tu.
Asa bongo aslmia kubwa n kilimo tufanyaje hapo unazan
 
Back
Top Bottom