Natafuta baba mlezi

ngoja uende AMANA ukakutane manesi wanaojibu hakuna nesi wa chooni,afu ukishajifungua baada ya miaka m3 njoo utupe mrejesho
 
Tyta, watu8 come dig the past hapa. I smell fish.

To be honest ninyi wadada huwa mwajitafutia wenyewe matatizo labda kwa kwa sababu wengi hutumia moyo badala ya akili kutafakari...

Huyu binti kwa kiasi kikubwa she definitely saw this coming lakini kwa sababu ambazo hata mimi siwezi kuzielewa naona hakujali...

In several occasions, amewahi kuweka sredi hapa na nyingi ni za mapenzi na mahusiano complaining about her other half the way he mistreats her...

Niiteni nina roho mbaya lakini mwanamke asiyejua thamani ya uanamke wake huwa nina mdharau sana regardless kakutwa na maswaibu gani...

Hakuna mwanamke asiyejua kwamba ukipanua miguu na kuuachia uvungu usokomezwe na dushelele several times kuna uwezekano wa kupata ujauzito, magonjwa ya zinaa n.k, lakini wanawake wa kisasa hawasikii la mpiga kengele kanisani wala mhadhini msikitini...

Ifikie mahali Watanzania waache kubebeshana mizigo, serikali itubebeshe mizigo ya kodi na watu wasiojielewa pia watubebeshe mizigo...khaaaa!!!

Kama mwanamke ameshindwa kujua thamani ya mbunye yake na kaigawa hovyo kama tundu la fuel tank kusokomezwa kila nozzle ya gas stations basi sasa huu ndio wakati wa majuto na yamekuja kama mjukuu...

Hebu pitia hizi sredi kadhaa:

1. Hapa watu walishauri weeeee....

13 Novemba 2012
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/353302-kwa-wadada-tu.html

una bf wako ambae anakupenda sana na unajua anakupenda sana tofauti na wewe unavyompenda tatizo sijui na hana kipato au haoni umuhim, hana kipato kikubwa anakuja kulala kwako unampa dudu asubuhi anaondoka hata 50 haachi umepanga chumba kwa hela yako unakula kwa hela yako, unacheza kibati kwa hela yako, bili umeme, maji unalipa kwa hela yako, saloon ni kwa hela yako ikibidi hata rotion unanunua kwa hela yako istoshe kitandani hakulizishi kabisa ukimuambia muachane analia kilio cha mbwa mwizi, hivi kuna haja ya kua na huyu mwanamme ambae anaku ku***do tu bila faida yoyote eti kwa kua anakupenda sanaa na anataka kukuoa unahangaika na maisha mwenyewe? maoni kama ungekua wewe ungefanyaje

2: Hapa siye tushindao JF Doc tulimshauri kama mke wa mtu...

18 Januari 2014

https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/589043-tiba.html

naombeni tiba jamani uke wangu wabaridi sana kiasi cha kumfanya mme wangu kuchelewa kufika kileleni naomba msaada kuokoa ndoa yangu. pia ni mpana

3: Mume kageuka kuwa mchumba na ujauzito juu...

17 Juni 2014

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/676388-kapatwa-na-nini-huyu-mwenzangu.html

Tangu nimepata ujauzito mchumba wangu katokea kunichukia hataki hata ukaribu na mimi lakin ukimuomba hela yoyote ile anakupa mi nimeshindwa kumuelewa kapatwa na nini namfanyie nini? Nimejishusha to the maximum ndo kwaanza hata mshipa wa faham haumchezi
Na tangu nimepata ujauzito nimekuwa na mhemuko ( ngenye) wa hali ya juu sana nikimwambia mwenzangu anasema pole. Hata sijui kapatwa nanini jmn.
 
To be honest ninyi wadada huwa mwajitafutia wenyewe matatizo labda kwa kwa sababu wengi hutumia moyo badala ya akili kutafakari...

Huyu binti kwa kiasi kikubwa she definitely saw this coming lakini kwa sababu ambazo hata mimi siwezi kuzielewa naona hakujali...

In several occasions, amewahi kuweka sredi hapa na nyingi ni za mapenzi na mahusiano complaining about her other half the way he mistreats her...

Niiteni nina roho mbaya lakini mwanamke asiyejua thamani ya uanamke wake huwa nina mdharau sana regardless kakutwa na maswaibu gani...

Hakuna mwanamke asiyejua kwamba ukipanua miguu na kuuachia uvungu usokomezwe na dushelele several times kuna uwezekano wa kupata ujauzito, magonjwa ya zinaa n.k, lakini wanawake wa kisasa hawasikii la mpiga kengele kanisani wala mhadhini msikitini...

Ifikie mahali Watanzania waache kubebeshana mizigo, serikali itubebeshe mizigo ya kodi na watu wasiojielewa pia watubebeshe mizigo...khaaaa!!!

Kama mwanamke ameshindwa kujua thamani ya mbunye yake na kaigawa hovyo kama tundu la fuel tank kusokomezwa kila nozzle ya gas stations basi sasa huu ndio wakati wa majuto na yamekuja kama mjukuu...

Hebu pitia hizi sredi kadhaa:

1. Hapa watu walishauri weeeee....

13 Novemba 2012
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/353302-kwa-wadada-tu.html



2: Hapa siye tushindao JF Doc tulimshauri kama mke wa mtu...

18 Januari 2014

https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/589043-tiba.html



3: Mume kageuka kuwa mchumba na ujauzito juu...

17 Juni 2014

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/676388-kapatwa-na-nini-huyu-mwenzangu.html
watu8 nimechekajeee wajameniii ndio maana mara nyingi natoaga ushauri wa kipumbafu maana waomba ushauri ni waigizajiii
 
Last edited by a moderator:
Na ukichunguza hizi mimba nyingi wala si bahati mbaya...
wanatumia mimba (kujilengesha) ku trap men...
Wanaume wengine ndio kama huyu hawakamatiki..
Ukichunguza mimba za 'bahati mbaya' nyingi ni za wenye umri wa kuolewa wala si teenagers...


Wanacheza pata potea...kama unampenda mtu set him free...isiwe fashion kuolewa na mimba maana picha mnayojenga ni kuwa mnalazimisha ndoa... na hata mkizipata ndio mnaanza kuleta complaints from day one unaanza kushea dushe maana umemnyima mwenzio haki ya kuoa anayempenda akakuoa wewe aliyekupitia kwa lengo la one night stand...for the sake of the child


To be honest ninyi wadada huwa mwajitafutia wenyewe matatizo labda kwa kwa sababu wengi hutumia moyo badala ya akili kutafakari...

Huyu binti kwa kiasi kikubwa she definitely saw this coming lakini kwa sababu ambazo hata mimi siwezi kuzielewa naona hakujali...

In several occasions, amewahi kuweka sredi hapa na nyingi ni za mapenzi na mahusiano complaining about her other half the way he mistreats her...

Niiteni nina roho mbaya lakini mwanamke asiyejua thamani ya uanamke wake huwa nina mdharau sana regardless kakutwa na maswaibu gani...

Hakuna mwanamke asiyejua kwamba ukipanua miguu na kuuachia uvungu usokomezwe na dushelele several times kuna uwezekano wa kupata ujauzito, magonjwa ya zinaa n.k, lakini wanawake wa kisasa hawasikii la mpiga kengele kanisani wala mhadhini msikitini...

Ifikie mahali Watanzania waache kubebeshana mizigo, serikali itubebeshe mizigo ya kodi na watu wasiojielewa pia watubebeshe mizigo...khaaaa!!!

Kama mwanamke ameshindwa kujua thamani ya mbunye yake na kaigawa hovyo kama tundu la fuel tank kusokomezwa kila nozzle ya gas stations basi sasa huu ndio wakati wa majuto na yamekuja kama mjukuu...

Hebu pitia hizi sredi kadhaa:

1. Hapa watu walishauri weeeee....

13 Novemba 2012
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/353302-kwa-wadada-tu.html



2: Hapa siye tushindao JF Doc tulimshauri kama mke wa mtu...

18 Januari 2014

https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/589043-tiba.html



3: Mume kageuka kuwa mchumba na ujauzito juu...

17 Juni 2014

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/676388-kapatwa-na-nini-huyu-mwenzangu.html
 
Duu pole sana mama pita, but kama mtoto wa kiume nipe mimi coz nina wakike tu
 
Last edited by a moderator:
kwa hiyo huyo baba mtoto mlezi akipatikana utaanza nae mahusiano au utasubili tu ukijfungua unamkabidhi mtoto wewe unasepa zako? Mi nakushauri Omba watu wakusaidie japo kazi au kimtaji ujishugulishe ili upate kipato cha kumtunza mwanao sio maamuzi magumu kama hayo kabisa
 
Back
Top Bottom