Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
Haitoshi kumuita mzee wa oic,alilikashfu jina la yesu kwa kusema hata pesa za shetani tunazihitaji..alihojiwa na BBC 2008.Hicho kivuli kitampa tabu sana kwa wakristo.
Amejiunga ...Na ile dini ya kishetani ili aupate urais ...