Natabiri: Bernard Membe kuendelea kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa

Ila lugha gongana saana! Yaani is is to to kibao! Nakushangaa wewe unaemsif kwa profn! Mnakumbuka suluvan?
 
Hebu ref back wakati wa mkutano wa leon sulivan muone hiyo lugha ya foreign inafurahisha!
 
Membe ndo nani bwana huyu anaye mtegemea Ridhwani kumpitishia mambo yake kwa kikwete.Tupilia mbali leta mwingine
 
- Waziri Membe, tumjadili kwa new policies alizoziweka toka awe Waziri wa Nje, badala ya kujadili jina tu! Ninaamini ameisaidia sana sio wizara tu bali hata taifa, kuna wakati hadhi yetu kimataifa ilishuka sana, lakini sio I mean toka ashike hiyo wizara, kwa maoni yangu anafaa sana huko nje!

- Moja ya ninalolijua alilolafanya akiwa Waziri, ni kuhakikisha Tanzania tunanunua majengo yetu ya Ubalozi huko nje badala ya kulipa rent miaka nenda miaka rudi kama tulivyokuwa tunafanya kabla hajashika hiyo wizara, I mean it was insane tunalipa rent kubwa ambayo ukiiweka kwa miaka 10 tu unapata hela za kutosha kununua jengo lile lile tunalolipia rent. I mean kiongozi wa sasa anayefaa ni yule anyejua kubana matumizi kama huyu Waziri Membe!


William.
 
- Waziri Membe, tumjadili kwa new policies alizoziweka toka awe Waziri wa Nje, badala ya kujadili jina tu! Ninaamini ameisaidia sana sio wizara tu bali hata taifa, kuna wakati hadhi yetu kimataifa ilishuka sana, lakini sio I mean toka ashike hiyo wizara, kwa maoni yangu anafaa sana huko nje!

- Moja ya ninalolijua alilolafanya akiwa Waziri, ni kuhakikisha Tanzania tunanunua majengo yetu ya Ubalozi huko nje badala ya kulipa rent miaka nenda miaka rudi kama tulivyokuwa tunafanya kabla hajashika hiyo wizara, I mean it was insane tunalipa rent kubwa ambayo ukiiweka kwa miaka 10 tu unapata hela za kutosha kununua jengo lile lile tunalolipia rent. I mean kiongozi wa sasa anayefaa ni yule anyejua kubana matumizi kama huyu Waziri Membe!


William.

Acheni kumjadili Membe wa watu, angeamua kuendelea na wito wake wa Kuwa kasisi kule Seminari kuu tungekuwa na Membe Waziri wa Mambo ya nje leo?
 
labda rais wa mikoa ya lindi na mtwara wanaoishi kwenye lindi la umaskini lakini bado wanawakumbatia magamba
 
Mimi nilichosema naona ni foreign minister ila lugha haipandi! Au ana mkalimani? Kama anae nitamsifia saana kwa ku create employment opotnty!
 
Pinda anafaa kuendelea kuwa waziri mkuu, hakuna haja ya kubadilisha. Lau kama kuna haja ya mabadiliko, basi Membe is the best replacement
 
- Waziri Membe, tumjadili kwa new policies alizoziweka toka awe Waziri wa Nje, badala ya kujadili jina tu! Ninaamini ameisaidia sana sio wizara tu bali hata taifa, kuna wakati hadhi yetu kimataifa ilishuka sana, lakini sio I mean toka ashike hiyo wizara, kwa maoni yangu anafaa sana huko nje!

- Moja ya ninalolijua alilolafanya akiwa Waziri, ni kuhakikisha Tanzania tunanunua majengo yetu ya Ubalozi huko nje badala ya kulipa rent miaka nenda miaka rudi kama tulivyokuwa tunafanya kabla hajashika hiyo wizara, I mean it was insane tunalipa rent kubwa ambayo ukiiweka kwa miaka 10 tu unapata hela za kutosha kununua jengo lile lile tunalolipia rent. I mean kiongozi wa sasa anayefaa ni yule anyejua kubana matumizi kama huyu Waziri Membe!


William.

Mkuu Bill ...wewe ni senior humu ndani....unajuwa mengi kuliko wengi...wetu....,sasa unapoanza kumtetea kilaza ,***** mtozeni Kama Huyu kwa sababu za kisiasa hatukuelewi.....Give us a break!!!!!
Eti Membe ni muasisi wa kununua nyumba nje .......? Wewe unajuwa ni uwongo .....wewe unajuwa juhudi za mwanzo za. Kununua nyumba nje silianza awamu ya kwanza ...tangu mzee wako akiwa waziri .....,mgonja..,kaduma na Salim etc..
Awamu ya pili ya mzee Mwinyi taifa lilipita kwenye Hali ngumu katika sera zetu za nje .....zilizopelekea nchi yetu kufunga balozi nyingi za nje..,na hata kuuza majengo yetu kwenye baadhi ya nchi ambazo kimkakati hatukuitaji kuweka mabalozi ...,ni wakati huu ...ambako najuwa mzee wako alikuwa balozi wetu alikuwa London ambako serikali pia ilipunguza idadi ya maafisa balozi ...na kurudisha familia Zao nyumbani ...baada ya kushindwa kuwalipia karo watoto wa maafisa balozi wetu ....

Serikali a awamu ya tatu baada ya mapato kuimarika ilianza kulipa madeni na kuimarisha sera zetu za nje ,kufufua baadhi ya balozi zetu za nje ....na ni wakati huu ambapo juhudi mpya za kununua majengo ya ubalozi silianza ...chini ya utawala wa mkapa na waziri aliwa KIkwete ......unajuwa tulinunua majengo hadi Tokyo....

Kwa ajili hii napingana vikali na wewe kumpa kilemba cha ukoka Huyu msanii Mwingine kuwa eti yeye ni mwasisi wa kununua majengo nje,....that's a waste ...tumeanza nunua nyumba toka enzi za Bhoke Munanka...wakati foreign office ikiwa just a department pale state house.....

Membe Kama ni uasisi labda mumpe ule wa Dual Citizenship.....msimpe sifa ambazo Hana...
 
Hata hiyo Dual citizenship muasisi siyo membe ni Rafiki yetu Masha! Mnaikumbuka kesi ya Mahalu, kwani Membe alikuwa waziri wa mambo ya nje then?
 
Membe kala pesa za kujenga kiwanda cha cement huko lindi,mtwara zilizotolewa na wa libya
 
Mimi nilichosema naona ni foreign minister ila lugha haipandi! Au ana mkalimani? Kama anae nitamsifia saana kwa ku create employment opotnty!

Una uhakika na usemalo kuwa lugha haipandi kwa Membe? Kumbuka shule alizopitia za awali ni zile zinazotambulika kutoa wanafunzi bora nchini. Kasoma seminari ndogo hadi kubwa wanakojifunza falsafa, teologia na sheria na mengineyo, angekuwa kilaza huko asingegusa Major seminary. Nakuambia kwa uzoefu wangu lugha sioni kama anatatizo la pekee kama tulivyo wengi ambao lugha yetu ya awali ni kiswalihi hutaweza kuongea kama mwingireza ambaye kiingereza ni mother tongue.
 
Mimi nilichosema naona ni foreign minister ila lugha haipandi! Au ana mkalimani? Kama anae nitamsifia saana kwa ku create employment opotnty!

Kama humjui Membe omba tukuambie. Hana tatizo la lugha na ni miongoni mwa mawaziri hadimu wanao ongea kiingereza na kifaransa. Nimeshuhudia alipokuwa akitoa lecture kwa wanafunzi wa masters Carleton university na University of Ottawa Canada, jamaa anatisha. Call spade a spade.
 
Membe kala pesa za kujenga kiwanda cha cement huko lindi,mtwara zilizotolewa na wa libya

Acha kushusha thamani ya JF mkuu kwa uongo wa mchana kweupeeee! Pia jifunze kujuwa unachokiandika ata Kama umeamua kutuandikia uongo. Libya haijatoa ela za kujenga kiwanda cha cement Mtwara.
 
Mkuu Bill ...wewe ni senior humu ndani....unajuwa mengi kuliko wengi...wetu....,sasa unapoanza kumtetea kilaza ,***** mtozeni Kama Huyu kwa sababu za kisiasa hatukuelewi.....Give us a break!!!!!
Eti Membe ni muasisi wa kununua nyumba nje .......? Wewe unajuwa ni uwongo .....wewe unajuwa juhudi za mwanzo za. Kununua nyumba nje silianza awamu ya kwanza ...tangu mzee wako akiwa waziri .....,mgonja..,kaduma na Salim etc..
Awamu ya pili ya mzee Mwinyi taifa lilipita kwenye Hali ngumu katika sera zetu za nje .....zilizopelekea nchi yetu kufunga balozi nyingi za nje..,na hata kuuza majengo yetu kwenye baadhi ya nchi ambazo kimkakati hatukuitaji kuweka mabalozi ...,ni wakati huu ...ambako najuwa mzee wako alikuwa balozi wetu alikuwa London ambako serikali pia ilipunguza idadi ya maafisa balozi ...na kurudisha familia Zao nyumbani ...baada ya kushindwa kuwalipia karo watoto wa maafisa balozi wetu ....

Serikali a awamu ya tatu baada ya mapato kuimarika ilianza kulipa madeni na kuimarisha sera zetu za nje ,kufufua baadhi ya balozi zetu za nje ....na ni wakati huu ambapo juhudi mpya za kununua majengo ya ubalozi silianza ...chini ya utawala wa mkapa na waziri aliwa KIkwete ......unajuwa tulinunua majengo hadi Tokyo....

Kwa ajili hii napingana vikali na wewe kumpa kilemba cha ukoka Huyu msanii Mwingine kuwa eti yeye ni mwasisi wa kununua majengo nje,....that's a waste ...tumeanza nunua nyumba toka enzi za Bhoke Munanka...wakati foreign office ikiwa just a department pale state house.....

Membe Kama ni uasisi labda mumpe ule wa Dual Citizenship.....msimpe sifa ambazo Hana...


- Mkuu haya ni mawazo yako tu, nikiwa nje nimeona hii ishu ya balozi kununua majengo ikifanyika under Uwaziri wake, sasa ni busara zaidi kuliko personal ishus inatakiwa kutumika kuamini kwamba ishus hizi zimesukumwa na kuwepo kwake kwenye wizara hiyo.

- Otheriwse, naona upo ki-perosnal zaidi kuliko kitaifa, I mean kumuita Waziri wa Jamhuri kwa majina uliyomuita hapa inaleta maswali sana kama mna personal ishus naye, maana kazi yake ipo wazi na policies zake zipo very clear amesimamia nini na hakusimamia nini,

- In general, ninaamini anafaa sana na ni mchapakazi!

William.
 
- In general, ninaamini anafaa sana na ni mchapakazi!

William.

Tatizo linalokuharibu wewe ni u CCM. Imekufanya kipofu hata kwa mambo ambayo hayastahili hata kuwa na macho ili uone. Sitashangaa ukisema hata Ngeleja, Nundu, Mfutakamba, Nyalandu, Maige and the like ni wachapakazi kwako.
 
membe anatosha kuwa mambo ya nje, na hata huo uwaziri mkuu sema ni gharama kubwa kwa Taifa kama Pinda atatolewa tena sasa hivi kwenye nafasi hiyo
 
- Mkuu haya ni mawazo yako tu, nikiwa nje nimeona hii ishu ya balozi kununua majengo ikifanyika under Uwaziri wake, sasa ni busara zaidi kuliko personal ishus inatakiwa kutumika kuamini kwamba ishus hizi zimesukumwa na kuwepo kwake kwenye wizara hiyo.

- Otheriwse, naona upo ki-perosnal zaidi kuliko kitaifa, I mean kumuita Waziri wa Jamhuri kwa majina uliyomuita hapa inaleta maswali sana kama mna personal ishus naye, maana kazi yake ipo wazi na policies zake zipo very clear amesimamia nini na hakusimamia nini,

- In general, ninaamini anafaa sana na ni mchapakazi!

William.

Sasa Kama wewe unataka kumpa kofia ya "muasis" wa kununua majengo...ya ubalozi nje ya nchi...that's its you ...... Lakini ukweli unaujuwa....,na kwa kuwa umeshaingia kwenye siasa tutegemee kuanza kuona Willie tofauti na Yule uliyemfahamu.....but you know what my brother ...not at the extent of that low...ya kumpa sifa za kupapasa Huyu Membe....

In general Kama umaskini anafaa ...mkaribishe kikombe cha kahawa pale sea view au segerea...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom