nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
| ||
|
| ||
|
Mungu huwa hawafichi wanafiki, watu walisema chama hiki ni cha kidini wakabisha mungu akawaumbua akaibuka mtei akadai waislam ni wengi katika tume ya katiba. watu wakasema chama hiki ni cha watu wa kaskazini mkabisha matokeo mtoto mdogo nasari akatoboa waliyoongea ktk vikao akaja na hoja ya watu wa wajitenge hayo ndio malengo ya chadema tujihadhari na chama hiki.
Dogo kachuja kwa kAsi ya ajabu,ila si asamehewe? Nini tatizo?
Ni kauli ya Mtu Mmoja sio chama cha Chadema, na ameelezea kuwa hana nia hiyo; Wajanja wengi wameichukua hiyo statement na kuiweka kama ni Ubaguzi wa Chama
Kweli Chama Tawala wana sera? au kila kitu ni lawama?
Dogo kachuja kwa kAsi ya ajabu,ila si asamehewe? Nini tatizo?
Dogo kachuja kwa kAsi ya ajabu,ila si asamehewe? Nini tatizo?