Mujumba
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 853
- 306
yule prof maji marefu ana hadhi gani? Amesoma soma yule?
ushamuita profesa then unasema ana hadhi gani?
yule prof maji marefu ana hadhi gani? Amesoma soma yule?
sema "tunataka kujaribu uongozi wa chama kingine" usisema"ccm haijafanya kitu" hivi hii miaka yote tokea uhuru undaka kusema ccm ime feli kwa kila kitu..usitumie hawa watu wachache ambao hawana wema na nchii kua ndo sababu ya kusahau miaka yote ambayo ccm imetuongoza,usilewe na sera za chama ambacho bado hakijaonja madaraka...kwani kuna watu wakati hali yao ni maskini hua wanasema "mie nikipata nita saidia mayatima" ila wakipata ukiwauliza wanasema "hela ina mambo mengi bwana"...ya mbele anajua mungu ila yalio pita tushkuru kwa mazuri pia!!!huo ndo uwana siasa...
Maji marefu Lingstone Lusinde wana hadhi ya kuwa wabunge????
Hivi Siasa za CCM wadhani ni za kuleta maendeleo au kuwavuruga wananchi? Au ni wachahche wanataka kuifaidi tanzania wenyewe?
Kwa mfano unaweza sema leo Lema hajaleta maendeleo Arusha au ni serikali ya CCM kuweka sera uchwala na kuwajaza wananchi wa arusha ati Lema kafanya nini? twapaswa kutambua ya kwamba Serikali ya CCM inatuchezea mchezo mchafu na watanzania tumeanza kuwa mambumbumbu.
My Take;
Huko tuendako viongozi waliopo kwenye uongozi huu waombe wafe mapema kwani wakiwa hai watoto wetu watakuja kutufikisha kwenye viti vya pilato kwa upuuzi na ujinga kwa utawala sasa.
yess mwache mgombea mwengine wa chadema ashinde,ila kilicho kua hakina hadhi kitakua kimesha tolewa..ukiweka nchii mbele vyama vinakua havina nafasi kwako,tatizo sio chama ila ni kiongozi bora..huwezi fananisha kampeni ya joshua nassari na ya lema..lema alikua anafanya kampeni taarabu ila nassari kashinda ki siasa zaidi!!ushabiki wa vyama utatuangusha!!Kwanini hukuyasema maneno haya kabla ya USHINDI wa JOSHUA Nassari Arumeru Mashariki na Pia Kabla mahakama haijatengua UBUNGE wa Lema, Hizi za kwako ni akili za MBUNI kuzika kichwa mchangani ili hali ..............
Wakati wewe unaahagilia uamuzi wa mahakama kutengua UBUNGE wa Lema, CCM wanakuna vichwa maana Arusha litakuwa anguko la AIBU kwa mara ya pili. Tuombe UZIMA.
kajiandikishe ukapige kura,waliomchagua waliona anafaa.
Au kama vipi nawe gombea tukupime badala ya kutoa uharo hapa ,kudadeki.
hata kama tuna ushabiki wa vyama,ila ni lazma kuweka maslahi ya nchi mbele kwanza...kama kuna mgombea alie kua na hadhi,elimu,hekima na sifa zote za uongozi,basi hakuna budi ya kumkubali na kuweka ushabiki wa vyama pembeni...kwa hiyo nachosema ni kua godbless lema hana hadhi ya kua mbunge,na personality yake ni dhaifu na kwa upanda wa joshua nassari yeye ana kila kitu cha kupewa nafasi ya uongozi!!
sifa ya kusoma na kuandika inajulikana hata watoto wa nursery wanayo,ila hekima na busara ndo tofauti ya lema na nassari...mie nitaenda fb baada ya wewe na lema kujiunga na mzee yusuf,ili mkatoe singo ya batilda na mimba ya lowassa!!yani wewe ata hujui sifa za mtu kuwa mbunge! inabidi tuhoji we una elimu gani? kama unayo tuhoji uhalali wa elimu yako! maana kama ungekuwa naelimu usinge shindwa kujua sheria za uchaguzi! jaribu kuuliza wenzio sifa za mtu kupata ubunge! me naona kama jf hapakufai na shauri uhamie fb. Amani kwako! jaribu kupitia sheria za uchaguz
sema "tunataka kujaribu uongozi wa chama kingine" usisema"ccm haijafanya kitu" hivi hii miaka yote tokea uhuru undaka kusema ccm ime feli kwa kila kitu..usitumie hawa watu wachache ambao hawana wema na nchii kua ndo sababu ya kusahau miaka yote ambayo ccm imetuongoza,usilewe na sera za chama ambacho bado hakijaonja madaraka...kwani kuna watu wakati hali yao ni maskini hua wanasema "mie nikipata nita saidia mayatima" ila wakipata ukiwauliza wanasema "hela ina mambo mengi bwana"...ya mbele anajua mungu ila yalio pita tushkuru kwa mazuri pia!!!huo ndo uwana siasa...
Wenye hadhi ni Lusinde, Komba,Maji marefu, Wasira.....hata kama tuna ushabiki wa vyama,ila ni lazma kuweka maslahi ya nchi mbele kwanza...kama kuna mgombea alie kua na hadhi,elimu,hekima na sifa zote za uongozi,basi hakuna budi ya kumkubali na kuweka ushabiki wa vyama pembeni...kwa hiyo nachosema ni kua godbless lema hana hadhi ya kua mbunge,na personality yake ni dhaifu na kwa upanda wa joshua nassari yeye ana kila kitu cha kupewa nafasi ya uongozi!!
hata kama tuna ushabiki wa vyama,ila ni lazma kuweka maslahi ya nchi mbele kwanza...kama kuna mgombea alie kua na hadhi,elimu,hekima na sifa zote za uongozi,basi hakuna budi ya kumkubali na kuweka ushabiki wa vyama pembeni...kwa hiyo nachosema ni kua godbless lema hana hadhi ya kua mbunge,na personality yake ni dhaifu na kwa upanda wa joshua nassari yeye ana kila kitu cha kupewa nafasi ya uongozi!!
sifa ya kusoma na kuandika inajulikana hata watoto wa nursery wanayo,ila hekima na busara ndo tofauti ya lema na nassari...mie nitaenda fb baada ya wewe na lema kujiunga na mzee yusuf,ili mkatoe singo ya batilda na mimba ya lowassa!!
Mkuu nacho maanisha ni kuwa wana CCM wengi hapa arusha wana matabaka yao mengi sana na tokea walipo bwagwa kwenye uchaguzi 2010 wengi wao walikuwa wakisema ooohh nyie mlio mchagua Lema amefanya nini je hao huoni wana tupa sera za ajabu, Hivi uongozi wa Nyerere na ule wa Mkapa na wa JK upi wewe kwako ulikuwa bora? na ulikuwa unawaangalia wananchi nasio maslahi ya viongozi wachache? sasa ndio hawa wana CCM wako walioko jimboni arusha wao ni pesa tuu mbele ziwe mikononi mwao na chuki binafsi.
wajua CCM imefika mahali na uongozi uliopo na waliokishika hicho chama pabaya kupoteza mwelekeo na imani kwa wananchi wamekuwa ni viongozi wa kujilimbikizia. Tokea Jk kaingia madarakani sija ona tofauti ya maendeleo ya mtanzania bali ni kudidimiaaa tu kila kukicha na hii ni kutokana na utawala mbovu wa nchi hii.
hata kama tuna ushabiki wa vyama,ila ni lazma kuweka maslahi ya nchi mbele kwanza...kama kuna mgombea alie kua na hadhi,elimu,hekima na sifa zote za uongozi,basi hakuna budi ya kumkubali na kuweka ushabiki wa vyama pembeni...kwa hiyo nachosema ni kua godbless lema hana hadhi ya kua mbunge,na personality yake ni dhaifu na kwa upanda wa joshua nassari yeye ana kila kitu cha kupewa nafasi ya uongozi!!
Wewe ni mzigo kweli ndo huna kitu....nahisi umefundishwa kuandika ila hujapewa upeo wa kutafakari ya kuandika...hata kama tuna ushabiki wa vyama,ila ni lazma kuweka maslahi ya nchi mbele kwanza...kama kuna mgombea alie kua na hadhi,elimu,hekima na sifa zote za uongozi,basi hakuna budi ya kumkubali na kuweka ushabiki wa vyama pembeni...kwa hiyo nachosema ni kua godbless lema hana hadhi ya kua mbunge,na personality yake ni dhaifu na kwa upanda wa joshua nassari yeye ana kila kitu cha kupewa nafasi ya uongozi!!
Limetumwa hili...hebu tuondolee uchuro wakombona unajirudia rudia unatumiwaa au vipi mwanawaneee?