Maboso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 5,164
- 5,761
Ndiyo mawazo yako yaliko.ueshamaliza kuja..mbaaa???
Ndiyo mawazo yako yaliko.ueshamaliza kuja..mbaaa???
Ndiyo mawazo yako yaliko.
Mkuu Ngurati, asante kwa taarifa hii, nchi hii huendeshwa kwa kitu kinachoitwa sheria, taratibu na kanuni!,
Jee Mhe. Mbunge wenu Nasari, anayo mamlaka ya kugawa land?!.
Kwa kukusaidia wewe na wengine wengi wasio jua sheria, kati ya mikataba yote mingine, unaweza kuingia mkataba kwa kauli tuu, lakini umiliki wa ardhi, ni lazima ufanywe kwa maandishi!, hili la Mhe. Mbunge kugawa mashamba kwa kauli na vitendo, bila maandishi rasmi ni kujifurahisha tuu!.
Kama eneo linatolewa kwa kauli tuu!, basi mimi Pasco wa jf, nimemgawia Ngurati, lile eneo lote la Magogoni hadi lilipo lile jumba jeupe!, ni eneo lako, lichukue!. Utakubali?!.
Pasco.
Soma kwa nguvu utaelewa Mbaba!Hujaeleweka babalao
Mkuu Ngurati, asante kwa taarifa hii, nchi hii huendeshwa kwa kitu kinachoitwa sheria, taratibu na kanuni!,
Jee Mhe. Mbunge wenu Nasari, anayo mamlaka ya kugawa land?!.
Kwa kukusaidia wewe na wengine wengi wasio jua sheria, kati ya mikataba yote mingine, unaweza kuingia mkataba kwa kauli tuu, lakini umiliki wa ardhi, ni lazima ufanywe kwa maandishi!, hili la Mhe. Mbunge kugawa mashamba kwa kauli na vitendo, bila maandishi rasmi ni kujifurahisha tuu!.
Kama eneo linatolewa kwa kauli tuu!, basi mimi Pasco wa jf, nimemgawia Ngurati, lile eneo lote la Magogoni hadi lilipo lile jumba jeupe!, ni eneo lako, lichukue!. Utakubali?!.
Huu mtindo wa Mhe. Mmbunge kujitwalia mamlaka nje ya uwezo wake ili tuu kuwafurahisha wananchi, kwa manufaa ya kujijenga kisiasa ili kupendwa, inaitwa "populist leadership!", wanachi watampenda sana mbunge wao, na wale wote watakaopokea maeneo hayo kwa kauli tuu ya Mhe. Mbunge wao, watakuwa wanajifurahisha tuu!.Anachofanya Mheshimiwa Mbunge ni uwamizi!.
Kiukweli inawabidi Chadema waishukuru sana serikali ya bwana "dhaifu" kuendeea kuwachekea "nyani" shambani, kwani watakachovuna ni mabua tuu!. Kama tumefikia hatua ya vyombo vya dola kuangalia na kuviachia vitendo vya uvunjanji wa sheria wazi wazi bila kuchukua hatua zozote!, basi ndio tunaanza hivi kidogo kidogo hadi tutaweza kuhamashisha maandamano makubwa ya nchi nzima kuelekea pale magogoni, na kumtoa yule mpangaji mahali pale!.
Hongera zake sana Mhe. Nasari kusimama na wanachi wake, kuwapatia kila wanachokitaka!, to hell with sheria taratibu na kanuni!, its peoples power!.
Pasco.
you don't belong here brother Pasco. that level of thinking and argument you are trying to bring here wont help you or anyone among us. here in JF we think according to what we believe and support and our core brains are on everlasting leave. some of us have decided to change so that we don't have to swim against the tide of jf.Mkuu Ngurati, asante kwa taarifa hii, nchi hii huendeshwa kwa kitu kinachoitwa sheria, taratibu na kanuni!,
Jee Mhe. Mbunge wenu Nasari, anayo mamlaka ya kugawa land?!.
Kwa kukusaidia wewe na wengine wengi wasio jua sheria, kati ya mikataba yote mingine, unaweza kuingia mkataba kwa kauli tuu, lakini umiliki wa ardhi, ni lazima ufanywe kwa maandishi!, hili la Mhe. Mbunge kugawa mashamba kwa kauli na vitendo, bila maandishi rasmi ni kujifurahisha tuu!.
Kama eneo linatolewa kwa kauli tuu!, basi mimi Pasco wa jf, nimemgawia Ngurati, lile eneo lote la Magogoni hadi lilipo lile jumba jeupe!, ni eneo lako, lichukue!. Utakubali?!.
Huu mtindo wa Mhe. Mmbunge kujitwalia mamlaka nje ya uwezo wake ili tuu kuwafurahisha wananchi, kwa manufaa ya kujijenga kisiasa ili kupendwa, inaitwa "populist leadership!", wanachi watampenda sana mbunge wao, na wale wote watakaopokea maeneo hayo kwa kauli tuu ya Mhe. Mbunge wao, watakuwa wanajifurahisha tuu!.Anachofanya Mheshimiwa Mbunge ni uwamizi!.
Kiukweli inawabidi Chadema waishukuru sana serikali ya bwana "dhaifu" kuendeea kuwachekea "nyani" shambani, kwani watakachovuna ni mabua tuu!. Kama tumefikia hatua ya vyombo vya dola kuangalia na kuviachia vitendo vya uvunjanji wa sheria wazi wazi bila kuchukua hatua zozote!, basi ndio tunaanza hivi kidogo kidogo hadi tutaweza kuhamashisha maandamano makubwa ya nchi nzima kuelekea pale magogoni, na kumtoa yule mpangaji mahali pale!.
Hongera zake sana Mhe. Nasari kusimama na wanachi wake, kuwapatia kila wanachokitaka!, to hell with sheria taratibu na kanuni!, its peoples power!.
Pasco.
Mkuu Ngurati, asante kwa taarifa hii, nchi hii huendeshwa kwa kitu kinachoitwa sheria, taratibu na kanuni!,
Jee Mhe. Mbunge wenu Nasari, anayo mamlaka ya kugawa land?!.
Kwa kukusaidia wewe na wengine wengi wasio jua sheria, kati ya mikataba yote mingine, unaweza kuingia mkataba kwa kauli tuu, lakini umiliki wa ardhi, ni lazima ufanywe kwa maandishi!, hili la Mhe. Mbunge kugawa mashamba kwa kauli na vitendo, bila maandishi rasmi ni kujifurahisha tuu!.
Kama eneo linatolewa kwa kauli tuu!, basi mimi Pasco wa jf, nimemgawia Ngurati, lile eneo lote la Magogoni hadi lilipo lile jumba jeupe!, ni eneo lako, lichukue!. Utakubali?!.
Huu mtindo wa Mhe. Mmbunge kujitwalia mamlaka nje ya uwezo wake ili tuu kuwafurahisha wananchi, kwa manufaa ya kujijenga kisiasa ili kupendwa, inaitwa "populist leadership!", wanachi watampenda sana mbunge wao, na wale wote watakaopokea maeneo hayo kwa kauli tuu ya Mhe. Mbunge wao, watakuwa wanajifurahisha tuu!.Anachofanya Mheshimiwa Mbunge ni uwamizi!.
Kiukweli inawabidi Chadema waishukuru sana serikali ya bwana "dhaifu" kuendeea kuwachekea "nyani" shambani, kwani watakachovuna ni mabua tuu!. Kama tumefikia hatua ya vyombo vya dola kuangalia na kuviachia vitendo vya uvunjanji wa sheria wazi wazi bila kuchukua hatua zozote!, basi ndio tunaanza hivi kidogo kidogo hadi tutaweza kuhamashisha maandamano makubwa ya nchi nzima kuelekea pale magogoni, na kumtoa yule mpangaji mahali pale!.
Hongera zake sana Mhe. Nasari kusimama na wanachi wake, kuwapatia kila wanachokitaka!, to hell with sheria taratibu na kanuni!, its peoples power!.
Pasco.
Hata sheria ya kubagua waafrika huko south afrika ilitakiwa itekelezwe ili watu waitii, je waliitii? bado inafuatwa? unaona ni vizuri ardhi kukaa idle wakati watu wa kuitumia wapo? chukulia shamba la kapunga mbalali, wakubwa wanazugazuga kuwauzia wahindi kumbe Mwandosya ana share,Mkuu Ngurati, asante kwa taarifa hii, nchi hii huendeshwa kwa kitu kinachoitwa sheria, taratibu na kanuni!,
Jee Mhe. Mbunge wenu Nasari, anayo mamlaka ya kugawa land?!.
Kwa kukusaidia wewe na wengine wengi wasio jua sheria, kati ya mikataba yote mingine, unaweza kuingia mkataba kwa kauli tuu, lakini umiliki wa ardhi, ni lazima ufanywe kwa maandishi!, hili la Mhe. Mbunge kugawa mashamba kwa kauli na vitendo, bila maandishi rasmi ni kujifurahisha tuu!.
Kama eneo linatolewa kwa kauli tuu!, basi mimi Pasco wa jf, nimemgawia Ngurati, lile eneo lote la Magogoni hadi lilipo lile jumba jeupe!, ni eneo lako, lichukue!. Utakubali?!.
Huu mtindo wa Mhe. Mmbunge kujitwalia mamlaka nje ya uwezo wake ili tuu kuwafurahisha wananchi, kwa manufaa ya kujijenga kisiasa ili kupendwa, inaitwa "populist leadership!", wanachi watampenda sana mbunge wao, na wale wote watakaopokea maeneo hayo kwa kauli tuu ya Mhe. Mbunge wao, watakuwa wanajifurahisha tuu!.Anachofanya Mheshimiwa Mbunge ni uwamizi!.
Kiukweli inawabidi Chadema waishukuru sana serikali ya bwana "dhaifu" kuendeea kuwachekea "nyani" shambani, kwani watakachovuna ni mabua tuu!. Kama tumefikia hatua ya vyombo vya dola kuangalia na kuviachia vitendo vya uvunjanji wa sheria wazi wazi bila kuchukua hatua zozote!, basi ndio tunaanza hivi kidogo kidogo hadi tutaweza kuhamashisha maandamano makubwa ya nchi nzima kuelekea pale magogoni, na kumtoa yule mpangaji mahali pale!.
Hongera zake sana Mhe. Nasari kusimama na wanachi wake, kuwapatia kila wanachokitaka!, to hell with sheria taratibu na kanuni!, its peoples power!.
Pasco.
Sheria ya ardhi ipo wazi acheni ushabiki wa kisiasa mbunge hana uwezo wa kugawa mashamba!
Mkuu Lunyungu, uchaguzi ni Jumamosi October 31, Matokeo ni Jumatano November 5, rais mpya anapishwa Jumamosi November 7!.Lowasa ana aapishwa lini ?.
Pasco ingia mtandaoni ardhii ya Kijiji inamilikiwa na nani? Na ndicho mchungaji Munishi alisema kuhusu ninyi waandishi na upotoshaji wa habari. Serikali ya Kijiji kama kimesajiliwa ni wao wenyewe wanapaswa kukubaliana matumizi na kazi ya halmashauri ni kusajiri. Kwa hiyo kama anasimimia makubaliano ya Kijiji, sasa tatizo lako Pasco ni nini? Sheria ipi ya Kijiji imekuwa, kwa taarifa kama umesoma Sera ya Taifa ya Ardhi na Sheria za Ardhi (Sheria ya Ardhi Na. 4 ya mwaka 1999; Sheria ya Ardhi ya Vijiji Na. 5 ya mwaka 1999; Sheria ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi Na. 6 ya mwaka 2007) kila kijiji hakina budi kuandaa mpango wa matumizi bora ya ardhi kwa madhumuni ya kuwezesha usimamizi na matumizi endelevu ya ardhi. Hayo yote ya Morogoro , kiteto nk, yangetoka wapi wakati vijiji ndivyo vina mamlaka? Tatizo lako pia ni peoples power ya CDM ama people power ya kisheria?Mkuu Ngurati, asante kwa taarifa hii, nchi hii huendeshwa kwa kitu kinachoitwa sheria, taratibu na kanuni!,
Jee Mhe. Mbunge wenu Nasari, anayo mamlaka ya kugawa land?!.
Kwa kukusaidia wewe na wengine wengi wasio jua sheria, kati ya mikataba yote mingine, unaweza kuingia mkataba kwa kauli tuu, lakini umiliki wa ardhi, ni lazima ufanywe kwa maandishi!, hili la Mhe. Mbunge kugawa mashamba kwa kauli na vitendo, bila maandishi rasmi ni kujifurahisha tuu!.
Kama eneo linatolewa kwa kauli tuu!, basi mimi Pasco wa jf, nimemgawia Ngurati, lile eneo lote la Magogoni hadi lilipo lile jumba jeupe!, ni eneo lako, lichukue!. Utakubali?!.
Huu mtindo wa Mhe. Mmbunge kujitwalia mamlaka nje ya uwezo wake ili tuu kuwafurahisha wananchi, kwa manufaa ya kujijenga kisiasa ili kupendwa, inaitwa "populist leadership!", wanachi watampenda sana mbunge wao, na wale wote watakaopokea maeneo hayo kwa kauli tuu ya Mhe. Mbunge wao, watakuwa wanajifurahisha tuu!.Anachofanya Mheshimiwa Mbunge ni uwamizi!.
Kiukweli inawabidi Chadema waishukuru sana serikali ya bwana "dhaifu" kuendeea kuwachekea "nyani" shambani, kwani watakachovuna ni mabua tuu!. Kama tumefikia hatua ya vyombo vya dola kuangalia na kuviachia vitendo vya uvunjanji wa sheria wazi wazi bila kuchukua hatua zozote!, basi ndio tunaanza hivi kidogo kidogo hadi tutaweza kuhamashisha maandamano makubwa ya nchi nzima kuelekea pale magogoni, na kumtoa yule mpangaji mahali pale!.
Hongera zake sana Mhe. Nasari kusimama na wanachi wake, kuwapatia kila wanachokitaka!, to hell with sheria taratibu na kanuni!, its peoples power!.
Pasco.
Mkuu Lunyungu, uchaguzi ni Jumamosi October 31, Matokeo ni Jumatano November 5, rais mpya anapishwa Jumamosi November 7!.
Vipi kuna la zaidi?!, kwa msiomjua rais wetu ajaye ni "the one and only" aliyepangiwa na Mungu!.
Huyu ni Mwamba wa Kaskazini!, Bwana Wetu alisema "Wewe ni Mwamba, na Juu ya Mwamba huu, nitalijenga taifa langu!".
Jiwe walilolikataa waashi litafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!".
Na kwa wenye imani haba, wakidhani kuna jambo haliwezekani duniani!, wajue hakuna lisilowezekana!, na likitokea kuna jambo haliwezekani kwa binadamu kwa YEYE linawezekana!.
Nakuombea afya njema, ili kuishuhudia hiyo November 7!.
Pasco
you don't belong here brother pasco. That level of thinking and argument you are trying to bring here wont help you or anyone among us. Here in jf we think according to what we believe and support and our core brains are on everlasting leave. Some of us have decided to change so that we don't have to swim against the tide of jf.
We think like them
we argue like them
we abuse like them
we are sometimes banned like them
though we don't share the same level of thinking with them, but they think we are part of them.
Kama huamini subiri watakavyokushukia
Mkuu Rea, kwanza asante kwa ufafanuzi wa kisheria, pili unaonekana unazijua vyema sheria!. Nilichosema mimi, katika mikataba yote kabisa, inaweza kufanywa kwa kauli na matendo na bado ikawa ni mikataba halali!, hata umiliki wa gari,japo gari lina kadi ya gari, unaweza kumilikisha mkeo, mtoto au rafiki kwa kauli tuu, na umiliki huo ukawa halali, hata bila ya kumkabidhi kadi!, lakini miliki yoyote ya ardhi ni kwa "maandishi!", kinyume cha hapo ni kujifurahisha tuu na hizo ardhi za kupeana ki "populist!"Pasco ingia mtandaoni ardhii ya Kijiji inamilikiwa na nani? Na ndicho mchungaji Munishi alisema kuhusu ninyi waandishi na upotoshaji wa habari. Serikali ya Kijiji kama kimesajiliwa ni wao wenyewe wanapaswa kukubaliana matumizi na kazi ya halmashauri ni kusajiri. Kwa hiyo kama anasimimia makubaliano ya Kijiji, sasa tatizo lako Pasco ni nini? Sheria ipi ya Kijiji imekuwa, kwa taarifa kama umesoma Sera ya Taifa ya Ardhi na Sheria za Ardhi (Sheria ya Ardhi Na. 4 ya mwaka 1999; Sheria ya Ardhi ya Vijiji Na. 5 ya mwaka 1999; Sheria ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi Na. 6 ya mwaka 2007) kila kijiji hakina budi kuandaa mpango wa matumizi bora ya ardhi kwa madhumuni ya kuwezesha usimamizi na matumizi endelevu ya ardhi. Hayo yote ya Morogoro , kiteto nk, yangetoka wapi wakati vijiji ndivyo vina mamlaka? Tatizo lako pia ni peoples power ya CDM ama people power ya kisheria?
Tueleza katika sheria hizi kakiuka nini?
Mbunge aweza kugawa mashamba kwa kushirikiana na village council leaders. Tuna ardhi za aina tatu, village land, general land and reserved land. Kwa hiyo, wanakijiji wanaweza kugawana mashamba kupitia village council ambapo mbunge pia ni mdau.
Lakini pia, sheria zetu za ardhi, haziko clear, zinapingana (Tenure conflict) kati ya village land and general land katika utendaji kazi wake.