Calnde
JF-Expert Member
- Oct 7, 2008
- 1,373
- 277
Ninahitaji dakika moja tu na huyo jamaa. Dakika moja tu itanitosha.
Inabidi kukamata korodani zake na kuzipiga shoti kabla ya kuzibinya na mkasi wa kukata fence!
Ninahitaji dakika moja tu na huyo jamaa. Dakika moja tu itanitosha.
unaweza kuta alichelewesha chakula au aliwaacha ng'ombe wakala shambani kwa watu.
Kwani wana sababu za maana basi?
na yeye aburuzwe kotini ili aone uzuri wa kuwaburuza wenzao..
Ningekuwa ndio hakimu; hata kama nina hadhi ya Jaji...haki ya nani ninge-force uhamisho na kwenda huko ili ninunue kesi!! Ile huyo mume kukimbia tu, ninge-conclude kwamba kweli alimgonga makusudi na hakuna cha ushahidi wala cha kuendesha kesi......siku hiyo hiyo hiyo nasoma kesi na hapo hapo hukumu.
kama alicheat namuunga mkono msela kwa maamuzi yake but otherwise tat is too harsh a punishment
Ni wivu wa kijinga tu. Inasemekana hawa wawili walikuwa wameshatengana muda mrefu. Kwa hiyo hakuna swala la cheating hapo. Kila mmojawao alikuwa huru na mambo yake.
Laiti ingekuwa hivi, jamaa walishaachana kitambo! Ni mawivu ya kijinga tu.
Akipatikana nitaomba japo nipewe nafasi ya kumfinya !
Mhh...pole sana,
Hapa itabidi baadhi yetu tukanunue bullet proof jackets kwani tunaweza kuwa next in a queue!!!
Babu DC!!
Inauma jamani.... Dah! Hayo ndio yale ambayo yametoka, wanandoa wengine wanaishi kama
wapo hell na hawaondoki.... Hii story imenisikitisha sana. Sina hata la kusema...
Weweeeeeeeeeee!!
Hivi hupitwi na jambo wewe?
Ngoja niombe msaada kwa mjukuu wangu MJ1 ili nipate jibu la kukupa!!
Babu DC!!!
huyu nasra nae anakilanga....umenigonga na kuniburuta siku ya kwanza...ya pili... ya tatu....bado nipo tu yupo kwa mume?jaman hata km ni kufundwa kwenu kumvumilia mume hii sasa too much, tuangalie na vya kuvumilia.
Mura tata, baba Ghati hana mcheso.
So sad, nimeiona hiyo taarifa. Bora hizi taarifa zianze kuibuliwa maana akina mura wanachosha wanavyowafanyia wanawake kwa kweli.
Siku moja ntasimulia kisa cha jirani yangu wa kikurya, lol they are heartless sometimes.
Kwa nini? Walikutendea baya gani?