Natumia nokia 2700, naomba msaada kwani ninapotaka kustream video za utube, inapoanza kustream inaonesha hadi hukubwa dakika za video ila haioneshi zaidi ya kunipa ujumbe kwenye screan ( NOTHING TO DISPLAY). Ninkosa mambo mambo mengi tafadhali mwenye ujuzi na ili naomba anisaidie. Pazia!