ngilenengo1
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,275
- 605
tatizo kubwa ni watu tunaoishi nao akiwepo mke. Hawataki kuorodhesha matumizi ya kila siku. Ukiuliza fedha imetumikaje unataka mchanganuo ndo unaanzisha balaa lingine. Maana utajikuta fedha haikutosha na kukopa amekopa.
Ukijaribu kuweka records hata za mwezi 1 tu utakuja kugundua unadanganywa kwenye matuzi maana utashtuka mitungi 3 ya gesi, kila 45 za mchele, unga kilo 30, tambi paketi 25, sukari kilo 15. sasa unajiuliza unalisha shule au ni familia ya watu wasiozidi watu8. Hii inatia hasira sana. Bahati nzuri nyama za ina zote nanunua mwenyewe kwa jumla.
Nidhamu, uadilifu na kumcha Mungu pia vinasaidia sana. Bila uaminifu kupangabajeti ya nyumbani ni shida sana
Ukijaribu kuweka records hata za mwezi 1 tu utakuja kugundua unadanganywa kwenye matuzi maana utashtuka mitungi 3 ya gesi, kila 45 za mchele, unga kilo 30, tambi paketi 25, sukari kilo 15. sasa unajiuliza unalisha shule au ni familia ya watu wasiozidi watu8. Hii inatia hasira sana. Bahati nzuri nyama za ina zote nanunua mwenyewe kwa jumla.
Nidhamu, uadilifu na kumcha Mungu pia vinasaidia sana. Bila uaminifu kupangabajeti ya nyumbani ni shida sana