Nashindwa kulivua hili gamba!!

Tafuta pesa yako nachukia mijanaume inayplelewa na mwanamke, halafu umeniboa eti gamba, unamdhalilisha mtu anaekupa kula, atanenepaje wakati unamnyonya damu namna hii
 
Huyo mama siyo gamba, gamba unaweza kuwa wewe hapo, jivue fasta.
 
Wakubwa nina hilo gamba nalifananisha na EL! Nina miaka kama 6 na huyu demu but katika miaka hiyo kashindwa kabisa kubadilika both kitabia and kimuonekano! Demu ananipenda sana tatizo ni tabia yake and muonekano wake! Ila uzuri wake ana mavumba sana so mtu mzima shida ndogo ndogo hazinisumbui! Ni mwaka wa 2 sasa nipo kwenye strategy ya kulivua hili gamba but nachemsha! Now i can see kwa nini ccm wanashake kuwachomoa mapacha3, ushawishi wa mapene ni noma wakubwa!! Nifanyeje???

enzi za kutegemea vumba la mtu limepitwa na wakati wewe!!! acha kumpotezea muda.. si umuambie kuwa hamna future pamoja ila mnaweza kuendelea kuji-express wakati kila mtu akiwa anajua nini kinaendelea (na kuwa na future plan)
 
Back
Top Bottom