Nashindwa kulivua hili gamba!!

Tolowski

Senior Member
Apr 28, 2011
122
20
Wakubwa nina hilo gamba nalifananisha na EL! Nina miaka kama 6 na huyu demu but katika miaka hiyo kashindwa kabisa kubadilika both kitabia and kimuonekano! Demu ananipenda sana tatizo ni tabia yake and muonekano wake! Ila uzuri wake ana mavumba sana so mtu mzima shida ndogo ndogo hazinisumbui! Ni mwaka wa 2 sasa nipo kwenye strategy ya kulivua hili gamba but nachemsha! Now i can see kwa nini ccm wanashake kuwachomoa mapacha3, ushawishi wa mapene ni noma wakubwa!! Nifanyeje???
 
Tafuta pesa zako ili ukose sababu ya kua nae....mwanaume halelewi!!
 
Tolowski
Yesterday 12:29 PM
Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png

Join Date : 28th April 2011
Posts : 49
Thanks0Thanked 4 Times in 3 Posts
Rep Power : 0
icon1.png
Eti wanaohudhururia mikutano ya chadema nao ni umma!!

Kwenye kundi la watu wanaohudhuria mikutano mikutano ya chadema siwezi nikaita ni umma! Sababu ni kwamba hakuna uwiano sawa wa makundi ya jamii kama wanawake,wazee,vijana,walemavu etc! Ninaowaona kwenye mikutano ya chadema wengi ni vijana,tena ni wale vijana jobles and mapepe flan yaani wazee wa kulanduka! I can say chadema sio chama cha nguvu ya umma bali ni nguvu ya wavuta bange,si mnaona chadema inavyopendwa arusha,KITU CHA ARUSHA BALAA WOTE TWAKISIKIA! BORA MKUTANO WANGU UHUDHURIWE NA WENYE BUSARA 10 TU KULIKO WAVUTA BANGE 1000!
.........................................................................................
Wewe bwanamdogo huna akili!
Ndiyo maana unashikwa mapembe na mwanamke!
Kama unapewa hela na huyo mwanamke peleka tuisheni ukajisomeshe japo elimu ya watu wazima (EWW)!
 
usiwe tegemezi weka mipango endelevu,mwambie akufungulie biashara usimamie,ukiweza kusimama muache taratibu ila duh imeniuma kumbe wakaka huwa saa nyengine na nyie mnachuna mabuzi?(wa kike nao wanaitwa mabuzi au?lol)
 
Ana wivu wa ajabu,yaani hataki niongee hata na dada yake, also ni mkorofi sana kila cku anagombana na ndugu zake kwa sababu ambazo hazieleweki,yeye ni chanzo mara nyingi! Kuhusu muonekano ni kwamba hanenepi yaani ni kama katoto flani kakondeana mbwayaa!kama humjui waweza sema ana ngoma!!
tabia na muonekano upi ? fafanua ili tukusaidie na hilo gamba lako
 
Nishafight sana,na sasa ndo nipo chuo last year nategemea kumaliza july and hopeful nitakamata job! Kama umepitia chuo i hope u knw chuo life linavyokaba
Tafuta pesa zako ili ukose sababu ya kua nae....mwanaume halelewi!!
 
Mkuu mbona unahamishia hasira za jukwaa la siasa huku? Nimekuja huku kupata love kidogo! Naomba 2kutane kule kwa hayo mambo yetu ya padiri muasi
Tolowski
Yesterday 12:29 PM
Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png

Join Date : 28th April 2011
Posts : 49
Thanks0Thanked 4 Times in 3 Posts
Rep Power : 0
icon1.png
Eti wanaohudhururia mikutano ya chadema nao ni umma!!

Kwenye kundi la watu wanaohudhuria mikutano mikutano ya chadema siwezi nikaita ni umma! Sababu ni kwamba hakuna uwiano sawa wa makundi ya jamii kama wanawake,wazee,vijana,walemavu etc! Ninaowaona kwenye mikutano ya chadema wengi ni vijana,tena ni wale vijana jobles and mapepe flan yaani wazee wa kulanduka! I can say chadema sio chama cha nguvu ya umma bali ni nguvu ya wavuta bange,si mnaona chadema inavyopendwa arusha,KITU CHA ARUSHA BALAA WOTE TWAKISIKIA! BORA MKUTANO WANGU UHUDHURIWE NA WENYE BUSARA 10 TU KULIKO WAVUTA BANGE 1000!
.........................................................................................
Wewe bwanamdogo huna akili!
Ndiyo maana unashikwa mapembe na mwanamke!
Kama unapewa hela na huyo mwanamke peleka tuisheni ukajisomeshe japo elimu ya watu wazima (EWW)!
 
Nishafight sana,na sasa ndo nipo chuo last year nategemea kumaliza july and hopeful nitakamata job! Kama umepitia chuo i hope u knw chuo life linavyokaba
Kama uko chuo na bado unashabikia wakoloni wa kiafrica wanaoangamiza nchi hii bado hujakombolewa na shule hiyo!
Kama unashindwa kutambua juhudi za Watanzania wachache wanopigana kuwaelewesha wananchi na kuwafungua macho ili wapige kelele wanapoibiwa, basi wewe una tatizo lisiloponyeka!

Usitafute kuonewa huruma wakati mwenyewe unashindwa kujitetea...Futa kauli zako za hapo juu nilipokuquote, ndipo utakuwa umejivua gamba!
Vinginevyo unaonekana kichaa hapa ndani!...nimemaliza!
 
Tolowski
Yesterday 12:29 PM
Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png

Join Date : 28th April 2011
Posts : 49
Thanks0Thanked 4 Times in 3 Posts
Rep Power : 0
icon1.png
Eti wanaohudhururia mikutano ya chadema nao ni umma!!

Kwenye kundi la watu wanaohudhuria mikutano mikutano ya chadema siwezi nikaita ni umma! Sababu ni kwamba hakuna uwiano sawa wa makundi ya jamii kama wanawake,wazee,vijana,walemavu etc! Ninaowaona kwenye mikutano ya chadema wengi ni vijana,tena ni wale vijana jobles and mapepe flan yaani wazee wa kulanduka! I can say chadema sio chama cha nguvu ya umma bali ni nguvu ya wavuta bange,si mnaona chadema inavyopendwa arusha,KITU CHA ARUSHA BALAA WOTE TWAKISIKIA! BORA MKUTANO WANGU UHUDHURIWE NA WENYE BUSARA 10 TU KULIKO WAVUTA BANGE 1000!
.........................................................................................
Wewe bwanamdogo huna akili!
Ndiyo maana unashikwa mapembe na mwanamke!
Kama unapewa hela na huyo mwanamke peleka tuisheni ukajisomeshe japo elimu ya watu wazima (EWW)!
[/QUOTE ENDELEA NA KUJIDANGANYA HUKO UNAKOJIDANGANYA, angalia mikutano ya NAPE NNAHUYE KISHA LINGANISHA NA NHIYO UNAYOIPONDA YA DR SLAA, kisha acha akili zako ziwe huru kufukiri UTAPATA JIBU.
 
Wakubwa nina hilo gamba nalifananisha na EL! Nina miaka kama 6 na huyu demu but katika miaka hiyo kashindwa kabisa kubadilika both kitabia and kimuonekano! Demu ananipenda sana tatizo ni tabia yake and muonekano wake! Ila uzuri wake ana mavumba sana so mtu mzima shida ndogo ndogo hazinisumbui! Ni mwaka wa 2 sasa nipo kwenye strategy ya kulivua hili gamba but nachemsha! Now i can see kwa nini ccm wanashake kuwachomoa mapacha3, ushawishi wa mapene ni noma wakubwa!! Nifanyeje???

kula tigo!
 
usiwe tegemezi weka mipango endelevu,mwambie akufungulie biashara usimamie,ukiweza kusimama muache taratibu ila duh imeniuma kumbe wakaka huwa saa nyengine na nyie mnachuna mabuzi?(wa kike nao wanaitwa mabuzi au?lol)
naona tuwaite kondoo, mabuzi ni wana wake
 
Kama uko chuo na bado unashabikia wakoloni wa kiafrica wanaoangamiza nchi hii bado hujakombolewa na shule hiyo!
Kama unashindwa kutambua juhudi za Watanzania wachache wanopigana kuwaelewesha wananchi na kuwafungua macho ili wapige kelele wanapoibiwa, basi wewe una tatizo lisiloponyeka!

Usitafute kuonewa huruma wakati mwenyewe unashindwa kujitetea...Futa kauli zako za hapo juu nilipokuquote, ndipo utakuwa umejivua gamba!
Vinginevyo unaonekana kichaa hapa ndani!...nimemaliza!
Mkuu umeonaeeee ana magamba mengi sana huyu, tabia ya kifisadi ni kula jasho la wengine, hebu angalia sasa anaposhindwa kufanya uamuzi anaouona kuwa sahihi eti kisa pesa! Na usim2mie bint wa wa2 kama ngazi afu ukamwage!
 
Pole sana mr,wewe ni mtumwa kwenye huo uhusiano,pesa ndo catalyst,kwan maisha ya chuo ndio nini?kuish na bnt usompenda coz of s'thing ni u2mwa,nadhan mwisho wake utaishia kudhalilishwa,it shows that una mtegemea hasa!
 
Kama uko chuo na bado unashabikia wakoloni wa kiafrica wanaoangamiza nchi hii bado hujakombolewa na shule hiyo!
Kama unashindwa kutambua juhudi za Watanzania wachache wanopigana kuwaelewesha wananchi na kuwafungua macho ili wapige kelele wanapoibiwa, basi wewe una tatizo lisiloponyeka!

Usitafute kuonewa huruma wakati mwenyewe unashindwa kujitetea...Futa kauli zako za hapo juu nilipokuquote, ndipo utakuwa umejivua gamba!
Vinginevyo unaonekana kichaa hapa ndani!...nimemaliza!

atabaki kula hela z wanaume wenzie huyo mwishowe na wao watakula ki2 chake. mwanafunzi w higher learning hawezi andika upuuzi km huo. eti mwanafunz w chuo! chuo ch madrasa au?
 
Weka details zake tukusaidie. Sie wengine tunatafuta hiyo opportunity ya kutunzwa ati.
 
Back
Top Bottom