raha ya kuwa mwanamke kupiga mizinga bwana.saluni ,pamba ,window shoping kawaida mbona acha ubahili wewe . Wewe si nitakupa mapenzi ya kweli,heshima ,full matunzo yaani hata iyo mizinga utaona si kitu
hahahahahaha,jamaniunapomaanisha mashine kubwa unamaana gani?..kwamba na wewe una shimo kubwa sio??...maana mashine inatakiwa iendane na shimo ambalo mashine hiyo itaingia.....kwa msaada kabla sijatuma maombi yangu ya kuwa "mume wako"..unadhani size gani in cm or inches inakufaa??? pia inapendeza ukitoa na size ya upana na kina cha shimo lako in cm and inches too.
natumia simu nimependa hapa,likeNo! Mimi cna shimo kubwa ila ninapo du na size kubwakubwa,dah! Yani hata kazini huwa nakubali nisiende kwa raha zake.
Ila kiukweli cna shimo la kiviiile.
acha ubahili wewe utakubatia walet hadi lini toa hela hizo utaumia wewevimzinga vidogo dogo havikwepeki ila ile ya 10 m sijui 5m kila saa siitaki kuisikia . Shoping na saluni si ipo kwenye bajeti mpnz ? Ila hiyo mingine mtanisamehe . Anunue kwa chapaa yake mwenyewe kwani anafanyia nini pesa zake ?
kama analeta Pozi mimi nipo tayali bibieraha ya kuwa mwanamke kupiga mizinga bwana.saluni ,pamba ,window shoping kawaida mbona acha ubahili wewe . Wewe si nitakupa mapenzi ya kweli,heshima ,full matunzo yaani hata iyo mizinga utaona si kitu
acha ubahili wewe utakubatia walet hadi lini toa hela hizo utaumia wewe
kama analeta Pozi mimi nipo tayali bibie
nishakuPM sawaAchia Cont zako,niku PM.
wallah mwanamme bahili hapewi mapenzi ya kwelihahahahaha wanawake wanapenda mteremko sana anyway labda unipe vitu adimu sana wallet itafunguka yenyewe.
acha majungu kaka ,acha kunipeperushia ndege wangudogo hii ni injini kubwa utarudi kwenu bila hata ya malapa . Mzinga mdogo kwa smile ni 20m utaweza ? Utauza shamba la urithi wewe .
nishakupm bwana. Nimefuliaje switie sijala siku mbilikama analeta pozi mimi nipo tayali bibie
acha majungu kaka ,acha kunipeperushia ndege wangu
sasa wewe Kijana 20m unaziona nyingi wakati mwenzako nikienda pale Game zinaishia kwenye Menu na Washikaji,pole ngoja nimchukuwe mtoto Smiledogo hii ni injini kubwa utarudi kwenu bila hata ya malapa . mzinga mdogo kwa smile ni 20m utaweza ? utauza shamba la urithi wewe .
wallah mwanamme bahili hapewi mapenzi ya kweli
nimeiyona mtoto wakike unamaneno matamu na Mvua hii,Mmmmmm....uko wapi niku2mie Private Jet Mrembo?nishakupm bwana. Nimefuliaje switie sijala siku mbili