Napendekeza kofia ngumu ndani ya usafiri wa mabasi

Naomba kuuliza je? Kuna utafiti ulishawahi kufanyika kwa ajali zilizotokea na kuua watu wengi kwenye mabasi, kuwa hao waliofariki hasa waliumia sehemu gani mwilini?

Mm maranyingi nilishuhudia majeruhi wakiwa wameumia vichwani,

Kama kwenye meli watu huvaa life jacket, basi na nchi kavu tuwekewe kofia ngumu ndani ya usafiri wa mabasi,

utengenezwe tu mpango wa abiria atakayehitaji avae asiyehitaji asilazimiishwe,

Najua kuna changamoto ya magonjwa ya kuambukiza ila hizo kofia ziwe zinapuliziwa sawa,

Tusisubiri wazungu waanzishe ndo tuige Kama mikanda umeshindwa kutusaidia, basi tujaribu na hiyo njia labda yaweza kutufaa na kupunguza idadi ya vifo vya ajali za barabarani, majaribio yaanzie kwa mabasi makubwa,

Ni mawazo yangu tu
Daah pole Mkuu...
 
Naomba kuuliza je? Kuna utafiti ulishawahi kufanyika kwa ajali zilizotokea na kuua watu wengi kwenye mabasi, kuwa hao waliofariki hasa waliumia sehemu gani mwilini?

Mm maranyingi nilishuhudia majeruhi wakiwa wameumia vichwani,

Kama kwenye meli watu huvaa life jacket, basi na nchi kavu tuwekewe kofia ngumu ndani ya usafiri wa mabasi,

utengenezwe tu mpango wa abiria atakayehitaji avae asiyehitaji asilazimiishwe,

Najua kuna changamoto ya magonjwa ya kuambukiza ila hizo kofia ziwe zinapuliziwa sawa,

Tusisubiri wazungu waanzishe ndo tuige Kama mikanda umeshindwa kutusaidia, basi tujaribu na hiyo njia labda yaweza kutufaa na kupunguza idadi ya vifo vya ajali za barabarani, majaribio yaanzie kwa mabasi makubwa,

Ni mawazo yangu tu
Una wazo zuri ila halitekelezeki kama suluhisho. Ajali za mabasi na malori nyingi ni head on collisions. Serikali iweke barabara separate kwa gari za kwenda na kurudi. Magari yamekuwa mengi ajali haziepukiki kwa kuweka speed governor ya 80kph!

Nikuulize tu ushawahi ona ajali ya gari kugongana uso kwa uso katika bara bara ya Kimara mwisho hadi Kibaha toka ijengwe njia 8?
 
Sasa waTZ hawajui umuhimu wa kufunga mikanda tu ni issue kofia zitasaidia nn?
 
We jamaa ni great thinker mzuri sana. Tatizo hatuna hata research firms za kueleweka kwa hiyo hata hizo tafiti hatujawai fanya. Nawaza tu hapa ukitengeneza kofia za namna hii ukiuza pale Magufuli terminal watu watanunua tu hakuna anayependa kufa.
Tafiti zimeshafanywa na kuonekana uwekaji na utumiaji wa mikanda kwenye viti, pamoja na mwendokasi wa km 80/h kwa mabasi vinasaidia sana kupunguza madhara kwa ajali za mabasi.
 
Hzo helmet labda ziwe zile zinazotumiwa na madereva wa Formula 1, hata hivyo Bado ni wazo la kijinga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom