kabon14
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 1,233
- 867
Kama unataka umaarf kwa mda mfupi bla mafanikio n simpo, fanya hv, angalia watu wako attentive Na ktu gan kwa sasa then hapohapo Na ww unaibuka Na hoja zako. Mfano ita vyombo vya habar uanze kudis movnt ya UKUTA kwa ktumia hoja zako binafsi bla kumhusisha mtu yeyote, wana kuegemea upande wowote sambaza video mbalimbali khs hzo fikra zako.. Nnaamin haito fkisha masaa 72 Tanzania itakujadili tyu...!!! Tena itakfngulia milango maana nimeona umelipenda wazo la kuanzsha chama cha siasa..