Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Amyner, hiyo muachie mungu ukijua hata shemeji utaachana nae na hutakuwa na rafiki.
Amyner, hiyo muachie mungu ukijua hata shemeji utaachana nae na hutakuwa na rafiki.
Napenda siku moja niwe na uwezo wa kusikia mtu anachowaza kichwani!
Kama ukiwa "pepo" utajua..
1.Napenda siku moja hapa dar matafriki wasiwe kazini jiji zima wala taa zisifanye kazi.Yaani ni madereva tu na magari yao.(lengo nataka kusikia matusi na misele ya madereva wetu)
2.Napenda siku moja benk zote mjini ziruhusu watu 'kujisevia' wenyewe,yaani kama vile kwenye harusi unavyojipakulia msosi.So mtu unaingia tu mle kwa keshia unawekea au unatoa pesa mwenyewee!! Au unaenda pale bodi ya mikopo unajikopesha milion kadhaa hv. Nk
3....!
4....!
Jazia na zako unazopenda siku moja zitokee
alafu napenda siku moja mods wote watuachie madaraka ya kuwapiga ban watu flan flan hivi!!! yaani hatuangalii wewe ni mod wala nani
Siku moja MwanaAsha apate div I ya 7!!
MAPROSOO.
Hiyo namba 2 mbona kwenye ATM inafanyika?
Napenda siku moja niwe na uwezo wa kusikia mtu anachowaza kichwani!
Napenda siku moja nishibe bila kula.
ww unaza kula eenh?
karibu tule.
haya wala nn saa hizi?
daku. Lol.
haaah haaah daku kwani ramadhani hii? Au wadoea kwa wa kwaresma?! Ww mmeru eeh ooopss mmero eenh?!
kwa resma, hapa najishindilia ili nisisikie njaa.
vimbiwa buree! Afu umemficha wapi figganigga a.k.a mzee wa mia.
hahahahaha! Acha ugomvi.
ugomvi gani? Toa jibu. Yuko wapi mzee wa mia? Mana tangu atoe sredi amekudondokea sijamuona tena!au ulimtosa akajinyonga??