Ninapenda sana kutumia vitu vya asili, lakini mafuta ya alizeti ambayo huwa nanunua dukani mara kwa mara (super market) yenye ujazo wa lita 5 yana radha ya kauchungu hivi. Je! ni mimi tu au
ukinunua tena au uliyonayo kama yamebaki yachemshe mpaka moshi mweusi utoke kisha yaweke yapoe ktk chombo wazi kama sufuria then yatakuwa tayari kutumika na hayatakuwa na kauchungu tena.
Ninapenda sana kutumia vitu vya asili, lakini mafuta ya alizeti ambayo huwa nanunua dukani mara kwa mara (super market) yenye ujazo wa lita 5 yana radha ya kauchungu hivi. Je! ni mimi tu au
hii si mara moja tu! mara kibao