Idrissou02
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 354
- 646
Hii ni mara ya pili nanunua mafuta ya alizetia ambayo yanatia ladha mbaya kwenye chakula. Hivi wengine mshakutana na hii? Kuna anayejua inasababishwa na nini? Au ndo alizeti feki?
Singida Wana mchezo wa kupiga kanyanga,utaambiwa alizeti kumbe siyoHii ni mara ya pili nanunua mafuta ya alizetia ambayo yanatia ladha mbaya kwenye chakula. Hivi wengine mshakutana na hii? Kuna anayejua inasababishwa na nini? Au ndo alizeti feki?
Hayo mafuta yako yameoza au kwa kiingereza rancid. Hutokea kwa yale mafuta yanayouzwa au kuwekwa kwenye jua. Epuka kuyatumia kwa kuwa yana madhara makubwa kiafyaHii ni mara ya pili nanunua mafuta ya alizetia ambayo yanatia ladha mbaya kwenye chakula. Hivi wengine mshakutana na hii? Kuna anayejua inasababishwa na nini? Au ndo alizeti feki?
Yumkini hiyo alizeti ilihifadhiwa ikiwa bado haijakauka vizuri na kupelekea fermentation process kuanza kutokea wakati ikiwa imehifadhiwa.Hii ni mara ya pili nanunua mafuta ya alizetia ambayo yanatia ladha mbaya kwenye chakula. Hivi wengine mshakutana na hii? Kuna anayejua inasababishwa na nini? Au ndo alizeti feki?
Mkuu kuwa mkweli!Yanachanganywa na mbegu za maboga..ndio mana yanakua makali
Kwann ss wanachangyaYanachanganywa na mbegu za maboga..ndio mana yanakua makali
Nunua mafuta safi double refine bei imechangamka ila ni mazuri achana na hayo ya kukamua majumbaniHii ni mara ya pili nanunua mafuta ya alizetia ambayo yanatia ladha mbaya kwenye chakula. Hivi wengine mshakutana na hii? Kuna anayejua inasababishwa na nini? Au ndo alizeti feki?
Ilikuongeza wingi wa hayo mafutaKwann ss wanachangya
Mkuu, swali la ufahamu; mbegu za maboga gunia ngapi zinaweza kutoa mafuta lita moja?Mkuu kuwa mkweli!
Kuna mafuta ya mbegu "standard" kushinda mafuta ya mbegu za maboga?
Hata mafuta ya mbegu za karanga hayaoni ndani kwa ubora dhidi ya mafuta ya mbegu za maboga.
Well said. Mim pia ni mkulima mdogo. Nilipata gunia kadhaa mwaka jana lakin sasa nimeenda kukamua yaan chakula chake hauwez kula. Yanaleta test chungu sana kwenye chakula.Yumkini hiyo alizeti ilihifadhiwa ikiwa bado haijakauka vizuri na kupelekea fermentation process kuanza kutokea wakati ikiwa imehifadhiwa.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app