Ndugu zangu wa Jf napenda kufundishwa juu ya hili. Nilikuwa nikicheki katika link hii Illuminati Symbols nikaona katika nembo za hawa jamaa wanaojulikana kama freemason(Dini ya shetani) ni namba 666 na imeoneshwa kuwa namba hii ipo kwenye kofia ya Papa. Swali kuna uhusiano gani kati ya papa na hawa jamaa?